Kwa mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji aliyoyaweka Rais Samia kuna haja kweli ya kuajiriwa?

Kwa mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji aliyoyaweka Rais Samia kuna haja kweli ya kuajiriwa?

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Nashangaa vijana wengi bado wanatembeza bahasha mtaani kitafuta ajira ambazo ki ukweli ni utumwa. Kwa nini msifikirie kutumia hii golden chance ya uwepo wa mama madarakani kujitafutia vya kwenu.

Mama ameweka mazingira mazuri kiasi ambacho biashara zimeshamili kila kona. Hata muuza karanga tu anaona mzunguko wa pesa umekuwa mkubwa na humwambii kihusu kuajiriwa.

Au kuqjiriwa ni mentality ya vijana kwamba ili uonekane umesoma lazima uajiriwe? Mana haina mana kwa sasa kuajiriwa.

Kipindi cha jpm nakubali kwamba ili usurvive lazima utafute ajira mana kila kitu kilienda mlama kiasi ya wafanyabiashara kuaogopa kuanzisha new businesses mana utaambiwa ni mhujumu ucumi hasa ukiwa chadema au ukikosana na mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya.

Vijana changamkieni fursa hii.
 
Sujui wamewatoa wapi nyie hata matumizi ya R na L tu ni taabu au Nape na January wameondoka na kikosi chao.Any way endelea tu kuwekeza sasa ajira hapana.
 
Watu wapo kule viwandani kwa wahindi wanalipwa tano per day ngoja tuone wanasema Nini kuhusu fursa za kujiajiri
 
Nani amekutuma?
Fursa zipi?
mama yupi
mama yake nani?
Ngumu kumuelewa kwanza R na L zimechanganywa ndani na nje sasa sijui anaongelea kitu kimoja au vingi vingi.Ni ule ubabaishaji wa siku zote wa CCM
 
Ngumu kumuelewa kwanza R na L zimechanganywa ndani na nje sasa sijui anaongelea kitu kimoja au vingi vingi.Ni ule ubabaishaji wa siku zote wa CCM
Angaliq content. Sina muda wa kiandika niko kikazi zaidi. Sina hata muda wa yanga na simba. Acheni yanga na simba mtakufa maskini
 
Naona umekuja mbiombio kutuchamba baada ya kupiga pesa za udalali ndugu yangu.

Hebu tulia kwanza utupe hizo fursa za maana na sisi tupige pesa.
 
Nani amekutuma?
Fursa zipi?
mama yupi
mama yake nani?

Mama mwenyewe anashangaaa tuu...
FB_IMG_1722538277634.jpg
 
Back
Top Bottom