peace.peace14
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 214
- 36
embu nitajie ni kocha gani hapa duniani anaweza kuipeleka stars can kwa aina ya wachezaji tulionao,Nooj hajui lolote.Si kwamba tulikuwa tunafanya vizuri saaaaaana ila sasa hivi ni too much!
Kama wakati wa Kim Poulsen tulizifunga timu Kubwa tu Cameroon,Zambia,Moroco na hizi Rwanda na Burundi hazikutubabaisha. Hata Kama tulifungwa uliona Mpira na tulipambana. Inasikitisha sasa hivi hata Lesotho na Madagascar wanatufunga! Hata sijui linafundisha fomesheni gani.
Mpira umezidi kudumaaa.Kiufupi Nooj hajui analofanya na hilo linaanzia kwenye uteuzi wa wachezaji.
Mimi Nasema Kwa mbinu za Huyu Nooj hata tungekuwa na Ronaldo Na Messi kwenye timu ya Taifa hatuwezi shinda mechi hata moja!
embu nitajie ni kocha gani hapa duniani anaweza kuipeleka stars can kwa aina ya wachezaji tulionao,
nafikiri hujanielewa wewe, umeskia yanga wanataka waongezewe idadi ya wachezaji wa kigeni, tatizo tanzania hakuna wachezaji kabisa, na shughuli ya kuandaa wachezi sio ya mwaka mmoja au miwili ni ya muda mrefu kwahiyo malinzi hawezi leo akaanda wachezaji ambao wataenda can, anachofanya malinzi ni kuandaa soka bora la 2025 hukoNi jukumu la nani ku identify wachezaji...kuwanoa na kupanga timu ya ushindi?