Huyu jamaa ni mmiliki wa mashule yake huko mikoani hususani Arusha hivyo mda mwingi anakaa arusha na hajui changamoto za wapiga kura wake.
Hajawahi kuongea bungeni Wala kuishauri serikali juu ya changamoto za wanna Tarime.
Hana uhusiano na viongozi wenzake wa chama hususani madiwani.
Hata ofisi yake ya mbunge haijulikani nani katibu wake.
Anadharau wapiga kura wake, wafanyakazi wake mpaka serikali maana yeye Hana dereva anajiendesha mwenyewe.
Mbaya Zaid anajioenyeza Serengeti akagombee huko baada ya kujua Tarime hapendeki
Hajawahi kuongea bungeni Wala kuishauri serikali juu ya changamoto za wanna Tarime.
Hana uhusiano na viongozi wenzake wa chama hususani madiwani.
Hata ofisi yake ya mbunge haijulikani nani katibu wake.
Anadharau wapiga kura wake, wafanyakazi wake mpaka serikali maana yeye Hana dereva anajiendesha mwenyewe.
Mbaya Zaid anajioenyeza Serengeti akagombee huko baada ya kujua Tarime hapendeki