ERIK
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 623
- 315
Habari wadada'
Mimi nipo hapa JF miaka mingi saana......na nimegundua kuwa hapa ni sahihi kwa watu sahihi!
Nisiandike saana mm ni mwaume wa miaka 32 sasa najitambua nafanya kazi na naendesha maisha yangu' naomba kwa mdada yoyote anayejitambua tuwe marafiki Mungu akijaalia tuwe wapenz mpaka mke na mume kama tutaendana'
Maelezo zaidi na kufahamiana zaidi naomba tukutane PM
Karibuni saana
Mimi nipo hapa JF miaka mingi saana......na nimegundua kuwa hapa ni sahihi kwa watu sahihi!
Nisiandike saana mm ni mwaume wa miaka 32 sasa najitambua nafanya kazi na naendesha maisha yangu' naomba kwa mdada yoyote anayejitambua tuwe marafiki Mungu akijaalia tuwe wapenz mpaka mke na mume kama tutaendana'
Maelezo zaidi na kufahamiana zaidi naomba tukutane PM
Karibuni saana