Kwa mdada/wadada wasafi mliopo Zanzibar naomba wenyeji wenu

Kwa mdada/wadada wasafi mliopo Zanzibar naomba wenyeji wenu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nimeingia asubuhi hii Zanzibar baada ya kutoka South Africa, kwakweli nimekuja Zanzibar kuangalia fursa za biashara. Nimekuwa nikitamani sana kufanya biashara, na mara nyingi nimekuwa nikitamani kupata rafiki wa kike ambaye tutafanya naye biashara.

Asiwe sister du insta mikucha. Hawa huwa hawataki kazi. Wakikaa muda wote wanatengeneza kucha zao ndefu na kuperuzi Instagram. Hawataki kazi yoyote. Hata kwenye mapenzi wanainama tu wanatumia kama wanakinga nini sijui.

Natamani nipate dada mzuri na kichwani yupo vizuri tuwe marafiki, zaidi zaidi awe na uwezo mzuri wa kufanya biashara. Aje na mawazo na mipango mikakati. Mtaji natoa mimi.

Nimekuja Zanzibar natamani kama pia kuna mtu ataona fursa tushirikishane. Mimi ni mwajiriwa lakini natamani niwe na chanzo kingine cha mapato. Shughuli zangu zinanifanya nisafiri sana ndani na nje ya nchi.

Na niseme wazi tu, nimeoa na nina watoto wachache tu. Mke wangu hapendi biashara, nimemshawishi imeshindikana kwahiyo huko sina la kufanya.

Zanzibar mnaweza nipeleka Mchambawima na Makunduuchi nikawaone wenyeji wa huko wakoje?
 
Nimeingia asubuh hii Zanzibar. Baada ya kutoka South Africa. Actually nimekuja Zanzibar kuangalia fursa za biashara. Nimekuwa nikitamani sana kufanya biashara. Na mara nyingi nimekuwa nikitamani kupata rafiki wa kike ambaye tutafanya naye biznez.
Matajiri hukutana na wenzao mahotelini na sehemu za starehe za ma Don na lounge za uwanja wa ndege.
Wewe huna maono wala uwezo.

Jf unasaka mtu wa aina hiyo?

Hauko siriazi.
 
Matajiri hukutana na wenzao mahotelini na sehemu za starehe za ma Don na lounge za uwanja wa ndege.
Wewe huna maono wala uwezo.
Jf unasaka mtu wa aina hiyo?
Hauko siriazi.
Mbona unatokwa povu hivi? Shida nini? Mimi siyo Tajiri. Punguza Makasiriko.
 
Nenda sehem inaitwa ccm, au maisara hotel hapo utajichagulia mkuu
 
Huko hakuna wadada WASAFI nasikia kuna KONDE GANG tu
 
Ukishampata huyo dada nicheki PM niwaandalie tours mbalimbali za Zanzibar, huku ukiwa unatafakari ni projects gani za kufanya hapo mjini Zanzibar.
 
Back
Top Bottom