Atlantic Star
JF-Expert Member
- Feb 22, 2023
- 539
- 1,696
.......unaweza kuwa na lengo zuri kabisa kama hili la kumpongeza Bw.Robert Heriel Kwa kazi zake nzuri humu, lakini ukapoteza lengo hilo kwa hii staili ya uandishi, kwani wengi wanaweza kupotezea kusoma soon wakiona aya ya kwanza au hata title ..........Abalini.sijajuwabado kudoma mahelezoya waliyo.wegi umujamifolmu.
Ilaa.kuna uyukijana nirisomewa uziiwake nakijanawagu mkuba..
Ana itwa. Lobati eeli eli jijui.
Kijajawagu ongela...
Armudilah geshokijana wagu anaondoka.kaiyo jitokuwa jambifolam.alikuja leokuniona.
Ananiyelek.eza kidoho kido gutumiya jamifolam.mungu amubalikikijana wagu
Nandiye haliyeniwonyesha uyu lobati na gunisomea maherezo yage.nilifulahi sana.n fulayagu hainamuvano
Asateni
inawezekana pia hii ndio identity yako na pengine unataka kuwa funny kwa wasomaji(kuwafurahisha) lakini badala yake wanaweza wafanya kuboreka.....hii ilikuwa nzuri ulipoileta kwa mara ya kwanza, it was so funny but kuendelea namna hii haikai sawa coz inasumbua kusoma kidogo ......
nb: simaanishi kwamba mi ndo najua kuandika, inawezekana kabisa kuna namna nakera watu humu pia....