sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Hatimae yule Mnyama mkali, mwenye nguvu na makucha makali pengine kuliko wanyama wote mwituni.. Simba kamaliza nusu ya raundi ya kwanza ya VPL kwa kishindo kikuu.
Kamaliza hii duru kwa staili ya pekee kabisa..
1. Akiwa kileleni
2. Akiwa hajapoteza mechi hata moja
3. Akitafuna kila kitoweo kilicho mbele yake
4.Akitandaza soka maridadi kabisa, ambalo limekua gumzo Africa Mashariki na Kati [CECAFA] n.k
Ili kumalizia raundi ya kwanza ya ligi kuu, msimu huu.. Mnyama kabakisha mechi hizi;
15.10.2016: Simba S.C Vs KAGERA SUGAR
20.10.2016: Simba S.C Vs MBAO FC
23.10.2016: Simba S.C Vs TOTO AFRICAN
29.10.2016: MWADUI FC Vs Simba S.C
02.11.2016: STAND UNITED Vs Simba S.C
06.11.2016: AFRICAN LYON Vs Simba S.C
NOTE:TANZANIA PRISONS Vs Simba S.C.. Itapangiwa Siku.
Ukiangalia hizo mechi 8 zilizobaki kwa umakini mkubwa.. Utagundua hakuna timu yenye uthubutu wa kumzuia Mnyama, kumaliza raundi ya kwanza ya ligi msimu huu akiwa kileleni.
SIMBA SPORTS CLUB.. NGUVU MOJA.
Kamaliza hii duru kwa staili ya pekee kabisa..
1. Akiwa kileleni
2. Akiwa hajapoteza mechi hata moja
3. Akitafuna kila kitoweo kilicho mbele yake
4.Akitandaza soka maridadi kabisa, ambalo limekua gumzo Africa Mashariki na Kati [CECAFA] n.k
Ili kumalizia raundi ya kwanza ya ligi kuu, msimu huu.. Mnyama kabakisha mechi hizi;
15.10.2016: Simba S.C Vs KAGERA SUGAR
20.10.2016: Simba S.C Vs MBAO FC
23.10.2016: Simba S.C Vs TOTO AFRICAN
29.10.2016: MWADUI FC Vs Simba S.C
02.11.2016: STAND UNITED Vs Simba S.C
06.11.2016: AFRICAN LYON Vs Simba S.C
NOTE:TANZANIA PRISONS Vs Simba S.C.. Itapangiwa Siku.
Ukiangalia hizo mechi 8 zilizobaki kwa umakini mkubwa.. Utagundua hakuna timu yenye uthubutu wa kumzuia Mnyama, kumaliza raundi ya kwanza ya ligi msimu huu akiwa kileleni.
SIMBA SPORTS CLUB.. NGUVU MOJA.