Kwa mechi hizi.. Hakuna timu ya kumzuia Simba S.C ....

Kwa mechi hizi.. Hakuna timu ya kumzuia Simba S.C ....

Mimi sidhani kama uwa kunaulazima wakutukanana nakukashfiana umu.Jaman situjadili mada vizuri tu taratibu mbona tutaelewana.
 
Mimi sidhani kama uwa kunaulazima wakutukanana nakukashfiana umu.Jaman situjadili mada vizuri tu taratibu mbona tutaelewana.
Mkuu hawa ni waathirika wa vyeti feki wametumbuliwa sasa wana stress ya maisha na bado
 
Mkuu hawa ni waathirika wa vyeti feki wametumbuliwa sasa wana stress ya maisha na bado
Mimi uwa sioni mantiki yamigongano umu ambapo watu hatujuani physically, uwezi jua MTU unaekorofishana nae umu anaweza akawa ni MTU muhimu sana kwako bila wewe kujua
 
Mimi uwa sioni mantiki yamigongano umu ambapo watu hatujuani physically, uwezi jua MTU unaekorofishana nae umu anaweza akawa ni MTU muhimu sana kwako bila wewe kujua
Kuna watu tuu wapo humu kwa makosa wao ni kukashifu tuu na kutukana
 
Hesabu asubuhi.


Hata katika msimu uliopita wimbo wa 'hesabu asubuhi' ulikuwa unasikika pia...lakini mwisho wa msimu wakaja wenye wimbo wa 'hesabu jioni' wala wa asubuhi wakabaki vinywa wazi na wakiwa wamelowa....tehtehtehtehteh...mimi daima huipenda historia kwani huwa inajirudia....
 
Watu hupenda kusahau historia...wakati kama huu msimu uliopita Simba ilikuwa position gani na mwisho wa msimu Simba ilikuwa position ipi??? Fikiria sana...Mechi nane watu mnaanza kuzungumza???? Duh
Hawa ni mashabiki wanaoendeshwa na mihemko ya vichwa vya habari vya magazeti ya sport ya tanzania, tutauona mwisho wake!
 
Marefa wamlinde Kichuya bwana.Haiwezekani star kama Kichuya kila akishika mpira watu wanne wanamkaba na kumumiza.Tunatakiwa kulea vipaji vyetu.Mbona Ngoma analindwa sana.Tupende vyetu Bwana!
Siyo mavugo tena ni kichuya?
 
Back
Top Bottom