Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Nimeangalia mechi ya jana usiku nikajuta kupoteza usingizi wangu
Jana tulikuwa na mchezaji moja tu ambaye ni manula angalau na beki imejitahidi kwa kiwango kidogo unaweza sema manula aliperform kwa 8/10 beki 4/10
Ila kuanzia katikati kwenda mbele ni 1/10
Yani wachezaji wetu walikuwa wanabutua halafu kiungo tumewekewa wapuuzi eti Himid Mao na feisali???
Hivi huyu Kocha anatuona sisi hatujui sana mpira?
Mao lini akawa mchezaji mzuri kuliko mkude pale katikati?
Feisal hajjui kukaba hajui kuichezesha timu ndio anaitwa middle inayoanza kuliko wachezaji wote!!
Timu dkk zote 90 inabutua mpira na Kocha Hana hata plan B
Hili Kocha tahira mlilitolea wapi?
Tukifungwa goli saba kila mechi tustaajabu sioni timu ya kutoa sare hata na Kenya kina samata na kina msuva tunaowategemea kuichachafya ngome ya wapinzani ndio waligeuka wakabaji huku wakiwa wamepooza na viungo kina humid na feisal wanajificha kwenye migongo ya wachezaji wa misri
Amunike wewe ni mpumbavu kabisa
Nilitamani maximo arudi hata kwa mwezi tu
Jana tulikuwa na mchezaji moja tu ambaye ni manula angalau na beki imejitahidi kwa kiwango kidogo unaweza sema manula aliperform kwa 8/10 beki 4/10
Ila kuanzia katikati kwenda mbele ni 1/10
Yani wachezaji wetu walikuwa wanabutua halafu kiungo tumewekewa wapuuzi eti Himid Mao na feisali???
Hivi huyu Kocha anatuona sisi hatujui sana mpira?
Mao lini akawa mchezaji mzuri kuliko mkude pale katikati?
Feisal hajjui kukaba hajui kuichezesha timu ndio anaitwa middle inayoanza kuliko wachezaji wote!!
Timu dkk zote 90 inabutua mpira na Kocha Hana hata plan B
Hili Kocha tahira mlilitolea wapi?
Tukifungwa goli saba kila mechi tustaajabu sioni timu ya kutoa sare hata na Kenya kina samata na kina msuva tunaowategemea kuichachafya ngome ya wapinzani ndio waligeuka wakabaji huku wakiwa wamepooza na viungo kina humid na feisal wanajificha kwenye migongo ya wachezaji wa misri
Amunike wewe ni mpumbavu kabisa
Nilitamani maximo arudi hata kwa mwezi tu