Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa Kwa sasa wamejipenyeza nchi nyingi za Africa baada ya kuona wakitoa rushwa tu watawala wanauza nchi zao ,inamaana wapo tayari kuwapa CCM fedha yoyote ili watoke rushwa wakati wa chaguzi zote ni hatari sanaOk.
Kuna ndoto nliota juzi.. kwamba come 2025 tutakua na militants.. extremists ambazo zitawapa wajinga hofu,..
Hofu hiyo itawafanya wajinga hawa waendelee kukubali ujinga.
Ccm hata wasingekuja waalabu mzee Baba hawang'okihawa Kwa sasa wamejipenyeza nchi nyingi za Africa baada ya kuona wakitoa rushwa tu watawala wanauza nchi zao ,inamaana wapo tayari kuwapa CCM fedha yoyote ili watoke rushwa wakati wa chaguzi zote ni hatari sana
umeongea ukweliHakuna wa kuwapangia walipeje mishahara ya wafanyakazi wao. Watakuja na scale zao za mishahara ya ajabu. Ukute DG mtanzania wa kitengo fulani analipwa mshahara kima cha mkia wa mbuzi. Kwanza hawa wawekezaji wataleta wataalamu wao watakaoshika post za juu kwa mishahara ya scale za kwao. Hawa wazawa wengine wataishia kulipwa posho kama vibarua tu, mwekezaji atataka apate faida nono ili akajenge maendeleo ya nchi yao.
Wanalipa vizuri sanaHakuna wa kuwapangia walipeje mishahara ya wafanyakazi wao. Watakuja na scale zao za mishahara ya ajabu. Ukute DG mtanzania wa kitengo fulani analipwa mshahara kima cha mkia wa mbuzi. Kwanza hawa wawekezaji wataleta wataalamu wao watakaoshika post za juu kwa mishahara ya scale za kwao. Hawa wazawa wengine wataishia kulipwa posho kama vibarua tu, mwekezaji atataka apate faida nono ili akajenge maendeleo ya nchi yao.