Kwa mfano nikipewa 1000 na watu laki 1 tu nakuwa na millioni 100

Kwa mfano nikipewa 1000 na watu laki 1 tu nakuwa na millioni 100

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mbona kuwa tajiri Ni kazi rahisi sana yaani Tanzania nzima nashindwa nini kuwaomba Wananchi laki moja tu kwa wastani kila mkoa niombe watu 3000.

Wengine unawafanyia kazi ndogo wakikupa tu hela chap unaiweka kwenye account ndani ya mwaka utakuwa umetembelea kote na niamini watanzania laki na zaidi wakukupa bukubuku wapo au ukitaka kufanikiwa zaidi basi omba 100 kwa watu million 1 tembea Sana kila unayekutana zaye mwambie naomba mia tu unazikusanya unakuwa unaziweka baada ya miaka mitatu unakuwa bonge la tajiri

Haya maisha tu jamani washkaji zangu tupeane mbinu.
 
Ni kweli kabisa mkuu, tatizo linakuja kwenye kuwashawishi watu wote hao wakupe hiyo 1,000.
Na ndio maana ya biashara huja hapa, maisha ni kuchangiana tu, na tatizo la binadamu kiasili sisi ni wabinafsi na ni ngumu kumshawishi mtu akupe 1,000 bila kazi, ila ukifanya 'balance' yaani akakupa nawe ukampa basi mnakuwa sawa, yaani unampa bidhaa au huduma na yeye anakupa 1,000 au zaidi. Kwa msingi huo utaipata buku kwa watu laki moja nq hata zaidi ila bila ya hivyo si rahisi sana.
 
Ni kweli kabisa mkuu, tatizo linakuja kwenye kuwashawishi watu wote hao wakupe hiyo 1,000.
Na ndio maana ya biashara huja hapa, maisha ni kuchangiana tu, na tatizo la binadamu kiasili sisi ni wabinafsi na ni ngumu kumshawishi mtu akupe 1,000 bila kazi, ila ukifanya 'balance' yaani akakupa nawe ukampa basi mnakuwa sawa, yaani unampa bidhaa au huduma na yeye anakupa 1,000 au zaidi. Kwa msingi huo utaipata buku kwa watu laki moja nq hata zaidi ila bila ya hivyo si rahisi sana.
Asante mkuu kwa kunipa hi swaga kwahiyo nitajie bidhaa ambayo faida yake Ni buku halafu haina mtaji mkubwa Sana ili nitoke nayo
 
Jamii forums ianzishe saccos tununue hisa, saccos ya chama cha walimu kenya inawanachama wengi na uwezo wa kulipa mishahara hata miezi mitatu walimu wote endapo wanaigomea serikali kutaka stahiki zaidi
 
Wazo zuri lakini maelezo yake kiuchumi ni kwamba "hicho kitu hakiwezekani kwa sababu utaingilia majukumu ya taasisi za fedha kama mabenki.Hautafanikisha lengo lako kwa sababu hakuna atakayekuamini utaonekan tapeli kwa wwngi.Nakushauri ukakope kwenye taasisi za fedha,huo ndo utaratibu wa kiuchumi.
 
Mbona kuwa tajiri Ni kazi rahisi Sana yaani Tanzania nzima nashindwa Nini kuwaomba wananchi laki moja tu kwa wastani kila mkoa niombe watu 3000.wengine unawafanyia kazi ndogo wakikupa tu hela chap unaiweka kwenye account ndani ya mwaka utakuwa umetembelea kote na niamini watanzania laki na Zaidi wakukupa bukubuku wapo.au ukitaka kufanikiwa Zaidi basi omba 100 kwa watu million 1..tembea Sana kila unayekutana Naye mwambie naomba Mia tu.unazikusanya unakuwa unaziweka baada ya miaka mitatu unakuwa bonge la tajiri.haya maisha tu jamani washkaji zangu tupeane mbinu.
Anzisha kampuni ya betting mkuu
 
Wakati unakusanya hiyo ela TRA, Brela, Halmashauri na fisi mbalimbali wanakuangalia tu ?🤣🤸🐒
 
Mbona kuwa tajiri Ni kazi rahisi sana yaani Tanzania nzima nashindwa nini kuwaomba Wananchi laki moja tu kwa wastani kila mkoa niombe watu 3000.

Wengine unawafanyia kazi ndogo wakikupa tu hela chap unaiweka kwenye account ndani ya mwaka utakuwa umetembelea kote na niamini watanzania laki na zaidi wakukupa bukubuku wapo au ukitaka kufanikiwa zaidi basi omba 100 kwa watu million 1 tembea Sana kila unayekutana zaye mwambie naomba mia tu unazikusanya unakuwa unaziweka baada ya miaka mitatu unakuwa bonge la tajiri

Haya maisha tu jamani washkaji zangu tupeane mbinu.
Ndio maana duniani kuna list kubwa ya Matajiri wakubwa sana ambao ni ombaomba
 
Omba kibali kwa mkuu wa mkoa wako kisha zunguka vyuoni, makanisani, misikitini kwenye nyumba za wadosi, ofisi za umma na binafsi hakika Bakhressa hataona moto wako.
Nchi hii tajiri sana jamaa mmoja alisikika na kapinga mpunga kwa kufreeze akaunti za watu sasa wewe tafuta kibali na omba kihalali utapiga pesa bwasheeee, wagogo tunautumia sana hii
 
Back
Top Bottom