ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Asante mkuu kwa kunipa hi swaga kwahiyo nitajie bidhaa ambayo faida yake Ni buku halafu haina mtaji mkubwa Sana ili nitoke nayoNi kweli kabisa mkuu, tatizo linakuja kwenye kuwashawishi watu wote hao wakupe hiyo 1,000.
Na ndio maana ya biashara huja hapa, maisha ni kuchangiana tu, na tatizo la binadamu kiasili sisi ni wabinafsi na ni ngumu kumshawishi mtu akupe 1,000 bila kazi, ila ukifanya 'balance' yaani akakupa nawe ukampa basi mnakuwa sawa, yaani unampa bidhaa au huduma na yeye anakupa 1,000 au zaidi. Kwa msingi huo utaipata buku kwa watu laki moja nq hata zaidi ila bila ya hivyo si rahisi sana.
😂😂 Siifahamu mkuu mpaka nifanye tafakuri,Asante mkuu kwa kunipa hi swaga kwahiyo nitajie bidhaa ambayo faida yake Ni buku halafu haina mtaji mkubwa Sana ili nitoke nayo
Anzisha kampuni ya betting mkuuMbona kuwa tajiri Ni kazi rahisi Sana yaani Tanzania nzima nashindwa Nini kuwaomba wananchi laki moja tu kwa wastani kila mkoa niombe watu 3000.wengine unawafanyia kazi ndogo wakikupa tu hela chap unaiweka kwenye account ndani ya mwaka utakuwa umetembelea kote na niamini watanzania laki na Zaidi wakukupa bukubuku wapo.au ukitaka kufanikiwa Zaidi basi omba 100 kwa watu million 1..tembea Sana kila unayekutana Naye mwambie naomba Mia tu.unazikusanya unakuwa unaziweka baada ya miaka mitatu unakuwa bonge la tajiri.haya maisha tu jamani washkaji zangu tupeane mbinu.
Lazima uwe na billion Tano na kuendeleaAnzisha kampuni ya betting mkuu
Hio m100 tunatafuta odds 50 tu.Lazima uwe na billion Tano na kuendelea
Ndio maana duniani kuna list kubwa ya Matajiri wakubwa sana ambao ni ombaombaMbona kuwa tajiri Ni kazi rahisi sana yaani Tanzania nzima nashindwa nini kuwaomba Wananchi laki moja tu kwa wastani kila mkoa niombe watu 3000.
Wengine unawafanyia kazi ndogo wakikupa tu hela chap unaiweka kwenye account ndani ya mwaka utakuwa umetembelea kote na niamini watanzania laki na zaidi wakukupa bukubuku wapo au ukitaka kufanikiwa zaidi basi omba 100 kwa watu million 1 tembea Sana kila unayekutana zaye mwambie naomba mia tu unazikusanya unakuwa unaziweka baada ya miaka mitatu unakuwa bonge la tajiri
Haya maisha tu jamani washkaji zangu tupeane mbinu.
Unawapata mkuu hata ukiamua kutembeza bakuli Kanda mbili tu ya ziwa na ya Kati unawapataPa kuwapata hao watu laki 1 ndio kipengele chenyewe