Kwa mfumo wa ajira Tanzania, kujiajiri ukiwa umeajiriwa ni ngumu sana na kujiajiri ukiwa huna ajira ni ngumu zaidi! Nini kifanyike?

Ndio maana Q-net wamewapiga wengi wamebaki wanahaha ngoja mie nibak kuuza tu simu zangu mpaka mzee baba atakapoondoka
 
Ndio maana Q-net wamewapiga wengi wamebaki wanahaha ngoja mie nibak kuuza tu simu zangu mpaka mzee baba atakapoondoka
Hao Q-Net wana dhambi sana wanawauzia watu saa tu million 5? aisee maneno mengi vitendo hakuna wasomi wanaungana kuwapiga ndugu zao sijapenda kabisa bora wangeungana wakafanya kitu kinachoonekana..
 
Hivi ni ipi hasa maana ya mafanikio katika haya maisha...?
Hakuna indication maalum ya mafanikio.
Kila binadam ana kitu chake au hali yake ambayo akiipata hiyo ndio inakuwa sehemu yake ya mafanikio.
Kuna mtu mafanikio yake ni kumiliki geto lenye kitanda,tv na sabufa.
Kuna mwingine mafanikio yake ni kumiliki gari,Kuna mwingine mafanikio yake ni kumiliki nyumba au kibanda,Kuna mwingine mafanikio yake ni kumiliki ghorofa,Kuna mwingine mafanikio yake ni kuwa mchamungu etc.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@Wewe miamiatz: na mwenzako @Cassanova69 Ni ma-jiniaz.


Ni wengi wenye Hela zao zikiwemo za mafao ya kustahafu, lakini mioyoni wana hofu ya Ku-invest kwenye kitu chochote, au ujuzi. Na wangetamani kufanya hivyo.

Ili Upige Pesa yao, Unakua ndio Superman wao, ukkwaongoza ku-Invest kwenye ndoto zao. Piga hela yao kupitia connections. Na vifaa wanavyoagiza.
Na ndio msingi wa kupata 'Business Idea' ya kwako binafsi. Itakayokufanya ujiajiri binafsi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…