stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Daka Ndizi hio kwanza alafu tema bungoMkuu mimi sijawahi kumuamini January, ila ninasema ninachokiona kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daka Ndizi hio kwanza alafu tema bungoMkuu mimi sijawahi kumuamini January, ila ninasema ninachokiona kwa sasa
Kila muda story inabadilika. Walianza miundombinu, wakaja sijui na nini yani full changeTatizo ni huyo huyo January, ye kaachia madaraka mgao ukiwa ushaanza
Si waliingia kwa mbwembwe kumchafua magufuli kua mashine hakua anazifanyia service, haya ngoja tuone wao watatufikisha wapi
Ila wewe!!!!!!. HahahahKituko cha mtaani kwangu hapa umeme upo tunalingishiwa tu unawasha taa chaajabu feni hauwashi yaani nnapromiss na shemeji yako mpya nikasema nichukue mashine nijinyoe nywele zakule dah yaaaani mashine inatoa nguvu kwambaliiiiii hainyoi kabisa leo nnaumbuka
Tatito hili ni la January.Yaani kwa kipindi cha miaka 4 sijawahi experience shida ya umeme iliyopo sasa. Sijawahi kumuamini bwana January lakini hata wakati akiwa waziri umeme ulikuwa haukati hivi.
Sasa hivi ni week sasa ikifika saa moja au mbili wanapita na umeme walianza wanarudisha saa 12 naona jana wamerejesha saa 2 leo sijui watarejesha saa ngapi. Yaani sisi tunaotegemea biashara zinazohitaji umeme tumekwisha kabisa.
Hii nchi ni rahisi sana kuwa kiongozi hata huhitaji kuumiza kichwa kutatua changamoto maana chawa watakutetea kwani yeye ndiye anayeleta mvua.
Hatutaki aendelee bali afanye marekebisho maana kama ni kuendelea itakuwa haina maanaTatito hili ni la January.
Huyu wa Sasa anaendelea alipoishia January.
Na alikaa muda gani na alifanikiwa kufanya kitu ganiJanuary mlianza kumlaumu muda gani tangu aingie ofisini?
Hayo ya wiki ama mwezi sicho nachoona. Mimi nazungumzia ninachoona. Mimi ni kama mteja ninachohitaji kuona ni solution, haijalishi ipatikane kwa wiki, dakika, siku ila solution.Mtoa mada, Una akili kabisa kabisa ???.
Unamlaumu mtu mwenye chini ya wiki Moja ofisin??.
Wewe acha hizo, huyo February ni tapeli aliyebobeaYaani kwa kipindi cha miaka 4 sijawahi experience shida ya umeme iliyopo sasa. Sijawahi kumuamini bwana January lakini hata wakati akiwa waziri umeme ulikuwa haukati hivi.
Sasa hivi ni week sasa ikifika saa moja au mbili wanapita na umeme walianza wanarudisha saa 12 naona jana wamerejesha saa 2 leo sijui watarejesha saa ngapi. Yaani sisi tunaotegemea biashara zinazohitaji umeme tumekwisha kabisa.
Hii nchi ni rahisi sana kuwa kiongozi hata huhitaji kuumiza kichwa kutatua changamoto maana chawa watakutetea kwani yeye ndiye anayeleta mvua.
Umefungua kiwanda Cha Samaki wabichi unawaweka kwenye mafriiza alafu hauna backup generator? Full hasara utanuka shombo na uozo wa SamakiMipango yangu yote wanakwamisha mbwa Hawa , kwanini wasiruhusu mashirika mengine yawekeze kwenye umeme kama serikali imeshindwa kuliko huu usenge wanaofanya
Mimi sikatai ila my point is hali napoisgi imezidi kuwa mbayaWewe acha hizo, huyo February ni tapeli aliyebobea
Bora ukatike hivyo hivyo uone aibu kuzini mkuu.Kituko cha mtaani kwangu hapa umeme upo tunalingishiwa tu unawasha taa chaajabu feni hauwashi yaani nnapromiss na shemeji yako mpya nikasema nichukue mashine nijinyoe nywele zakule dah yaaaani mashine inatoa nguvu kwambaliiiiii hainyoi kabisa leo nnaumbuka
yaan mpaka wasemeNa bado mpaka mpate akili.