Kada kama wewe huwezi elewa mambo ya biashara wewe ngojea t shirt na kofia tummh.! unafanya biashara gani hiyo ambayo unapitia mabondeni na milimani.?
bila shaka we ni muuza dawa za kulevya au ndo wale wasiojulikana.
Nyie ndiyo ma knocleheadzMiaka 18 kwenye biashara umezeeka ,huwezi mbinu mpya waachie vijana..
Ni ngumu sana kumfundisha mbwa mzee mbinu mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia akili yako ata kidogo kwenye mambo ya maana au unakaa kwa Dada kazi yako kubwa kufungua geti na kusafisha viatu vya shemeji?mmh.! unafanya biashara gani hiyo ambayo unapitia mabondeni na milimani.?
bila shaka we ni muuza dawa za kulevya au ndo wale wasiojulikana.
Muoneni huyu bank teller!!!mmh.! unafanya biashara gani hiyo ambayo unapitia mabondeni na milimani.?
bila shaka we ni muuza dawa za kulevya au ndo wale wasiojulikana.
Nina miaka 18 kwenye biashara katika kipindi chote hicho,Nimepitia milima na mabonde.” Yani changamoto” Kitu ambacho ni cha kawaida kwenye biashara yoyote.
Lakini leo nakiri kwamba, Awamu hii imeuwa juhudi za watu wengi kufikia malengo yao kibiashara, Biashara zimeyumba kabisa, Mauzo yameshuka kwa asilimia zaidi ya 70, huku mitaji mingi ya wajasiria mali ikiteketea.
Kinachoogopesha zaidi, Sioni juhudi zozote za makusudi kuokoa hali hii mbaya. Jamaa zangu wengi wameshindwa kulipia school fees,Wengine wameshindwa kulipia mapango ya frem,Wengine ndoa zao zimevunjika na wengine wamepata stroku.
Lakini tukiwasikiliza viongozi wetu wanasema tupo pazuri. Najiuliza pazuri wapi?
Mwanzoni nilijua labda baba anafanyia nyumba usafi, Cha kushangaza tunamaliza miaka tano hali imekuwa tete zaidi ya tulipo toka.
Kuna hitajika jitihada za ziada kwenye uchumi wetu tena kwa speed kubwa la sivyo tutazalisha taifa la wamachinga na wapiga vibomu. Maana soon kodi za pango na serekali hazitalupika tena.
Natamani hii biashara yangu nimpe bure Dr mpango aiendeshe kwa miezi tu ili ajue hali halisi sio kukaa ofisini huku tukimlipa mshahara mnono bila kusaidia uchumi wetu.
Dr. Mpango mweleze rais hali mtaani ni mbaya,Watu tunapiga kazi asubuhi mpaka jioni lakini tunatoka kapa kila siku.
Halafu nimegundua ukiwa na hali mbaya mfukoni na majukumu ndio yanabisha hodi kwa kasi kweli kweli.
Hivi ilani ya chama ndio ilinadiwa kutekeleza hali iwe ngumu hivi? Tukutane mwakani october tuelezane kwa vitendo.
ukizoea kunyonga,kuchinja huweziHivi ilani ya chama ndio ilinadiwa kutekeleza hali iwe ngumu hivi? Tukutane mwakani october tuelezane kwa vitendo.
Humu unataja unafanya biashara wakati watu wako frustrated na hiyo biashara mtu hajui hata ikojeKitu nimegundua jf ina watu wengi wanakula ugali wa shikamoo mama, shikamoo baba wakishiba na wakaomba buk la bando wanaropoka tu, kimsingi hawajijui haya yote yaliyoandikwa na mtoa uzi yanalogic kwa mtu anayejitambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu unataja unafanya biashara wakati watu wako frustrated na hiyo biashara mtu hajui hata ikojeKitu nimegundua jf ina watu wengi wanakula ugali wa shikamoo mama, shikamoo baba wakishiba na wakaomba buk la bando wanaropoka tu, kimsingi hawajijui haya yote yaliyoandikwa na mtoa uzi yanalogic kwa mtu anayejitambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitambue usiwemtumwa wa akilimmh.! unafanya biashara gani hiyo ambayo unapitia mabondeni na milimani.?
bila shaka we ni muuza dawa za kulevya au ndo wale wasiojulikana.
Ni kweli kabisaKitu nimegundua jf ina watu wengi wanakula ugali wa shikamoo mama, shikamoo baba wakishiba na wakaomba buk la bando wanaropoka tu, kimsingi hawajijui haya yote yaliyoandikwa na mtoa uzi yanalogic kwa mtu anayejitambua
Sent using Jamii Forums mobile app
mmh.! unafanya biashara gani hiyo ambayo unapitia mabondeni na milimani.?
bila shaka we ni muuza dawa za kulevya au ndo wale wasiojulikana.