Kwa miaka 18 sijawahi kushudia ugumu wa biashara kama awamu hii ya Tano

Hali hiyo tunaoitia wengi,usikate tamaa,Ni mapito,neema zaja,huoni wa Monduli karudi nyumbani,mambo yatalegea kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli ukifanikiwa kutoboa awamu hii,hutakaa ufilisike tena kibiashara.Mambo yamekua hovyo biashara haipo kabsa,Wengi wamepoteza mitaji yao.Wafanyabiashara tuna hali ngumu sana[emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata watumishi mirija imebanwa,waulize watakuhadithia,watu wa mtaani wanashabikia kufuata upepo ila Wote kwa pamoja tunaisoma 1,2,3,4,5.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ulitaka kariakoo nyumba ziwe gest?
 
mmh.! unafanya biashara gani hiyo ambayo unapitia mabondeni na milimani.?
bila shaka we ni muuza dawa za kulevya au ndo wale wasiojulikana.

Mwingine huyu hapa. Watu ambao hawajawahi kufanya biashara ndio hao wanajipa utaalamu wa kutoa sababu ni kwa nini biashara za watu haziendi! Only in Tanzania you get this kind of idiocy.
 
Mwanangu pambana na hali yako. Siye mbele kwa mbele.
Kipindi hiki nimeweza kununua ndinga, kujenga house (siyo nyumba, namaanisha mjengo).
Nimepanda ndege
Nimefika uropa.

Hahahaha, awamu ya 5 ni zamu yetuuuuuuu
Itakuwa umeolewa na mumeo bado anayo pesa....ukiambiwa biashara zimebinuka elewa...no jokings hapa
 
Mkuu hata nikushukuru vipi kwa theard yako tumeshapiga kelele wanatuona wajinga hamna noma ngoja tusubiri October
 
Sasa mbona mnajazana sana bar?! Hali kwenye mabar huwa haiakisi hali ngumu ya uchumi tuliyonayo.
 
Usiseme kwa sauti wasifia juhudi watakwambia tuko uchumi wa kati, na tumekuwa dona kantri zungumza chini chini hahahahahahah
 
Yaan acha tu. Mambo magumu mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuelewa kabisa. Hta sisi biashara imefungwa siwezi kabisa kumlaumu bosi kwasababu hata mm ngekuwa nafasi yake ngefunga tu.

Na hamna dalili ya mambo kuwa mazuri
2014 nilikuwa na wafanyakaz karibia 50 ila sahiz wamebaki 21 na ntazid kupunguza hali ni mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…