Hali hiyo tunaoitia wengi,usikate tamaa,Ni mapito,neema zaja,huoni wa Monduli karudi nyumbani,mambo yatalegea kidogoBiashara karibu zote tu, mi nipo kkoo mtu unawahi unafungua duka saa moja asubuhi, mpaka inafika saa nne hata mteja kuja angalau kuuliza bei tu hamna!
kwa kifupi uwezo wa watu kununua bidhaa umeshuka kwa kiasi kikubwa sana, tunasinzia tu madukani.
007 james Bond
Hata watumishi mirija imebanwa,waulize watakuhadithia,watu wa mtaani wanashabikia kufuata upepo ila Wote kwa pamoja tunaisoma 1,2,3,4,5.Kwakweli ukifanikiwa kutoboa awamu hii,hutakaa ufilisike tena kibiashara.Mambo yamekua hovyo biashara haipo kabsa,Wengi wamepoteza mitaji yao.Wafanyabiashara tuna hali ngumu sana[emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani zamani kodi zilikuwa hazilipwi?tumia akili kufikiri usitumie matako
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae boya huyu muda wote utani wa kingesengese!Hivi ni kwamba huelewi au utoto unakusumbua
zilikua hazilipwi.tulikua tunapata bilioni 800 mpa trilioniKwani zamani kodi zilikuwa hazilipwi?tumia akili kufikiri usitumie matako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ulitaka kariakoo nyumba ziwe gest?Kuna kitu kimoja ambacho wanaojiita wafanyabiashara hasa wa Dar ambacho hawakioni. Utitiri wa biashara za aina moja kwenye kila sehemu ya Dar nayo unachangia. Huwezi kuwa na jiji ambalo kila mtaa nyumba za barabarani wamejenga vibanda vidogo vidogo vinavyoita fremu na kwenye kila frem bidhaa ni za aina moja halafu utegemee biashara isifikie kwenye ''turning point'' siku moja. Jamani kama hiyo Kariakoo unayosema kila nyumba imegezwa ya biashara. Na mbaya zaidi nyumba moja imeganywa ''vichochoro'' vidogo vidogo vingi vinavyoitwa frem. Na kuweka chumvi kwenye kidonda bidhaa karibu zinafanana fanana. Hata Magufuli asingeingia madarakani nakuhakikishia hii hali lazima ingetokea tu.
Juzi jumatano kulikuwa na mdana wa vitu mbalimbali baada ya wadaiwa kushindwa kurejesha mikopo yao. Kwa kweli hali ni teteTuko kwenye right track
Ila kwako sio tete..si ndioJuzi jumatano kulikuwa na mdana wa vitu mbalimbali baada ya wadaiwa kushindwa kurejesha mikopo yao. Kwa kweli hali ni tete
Sent using Jamii Forums mobile app
mmh.! unafanya biashara gani hiyo ambayo unapitia mabondeni na milimani.?
bila shaka we ni muuza dawa za kulevya au ndo wale wasiojulikana.
Itakuwa umeolewa na mumeo bado anayo pesa....ukiambiwa biashara zimebinuka elewa...no jokings hapaMwanangu pambana na hali yako. Siye mbele kwa mbele.
Kipindi hiki nimeweza kununua ndinga, kujenga house (siyo nyumba, namaanisha mjengo).
Nimepanda ndege
Nimefika uropa.
Hahahaha, awamu ya 5 ni zamu yetuuuuuuu
Sera mbovu huleta majanga kinachoikumba Venezuela au Zimbabwe ndio kitakachotokea Tanzania
Miaka 18 kwenye biashara umezeeka ,huwezi mbinu mpya waachie vijana..
Ni ngumu sana kumfundisha mbwa mzee mbinu mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona mnajazana sana bar?! Hali kwenye mabar huwa haiakisi hali ngumu ya uchumi tuliyonayo.Nina miaka 18 kwenye biashara katika kipindi chote hicho,Nimepitia milima na mabonde.” Yani changamoto” Kitu ambacho ni cha kawaida kwenye biashara yoyote.
Lakini leo nakiri kwamba, Awamu hii imeuwa juhudi za watu wengi kufikia malengo yao kibiashara, Biashara zimeyumba kabisa, Mauzo yameshuka kwa asilimia zaidi ya 70, huku mitaji mingi ya wajasiria mali ikiteketea.
Kinachoogopesha zaidi, Sioni juhudi zozote za makusudi kuokoa hali hii mbaya. Jamaa zangu wengi wameshindwa kulipia school fees,Wengine wameshindwa kulipia mapango ya frem,Wengine ndoa zao zimevunjika na wengine wamepata stroku.
Lakini tukiwasikiliza viongozi wetu wanasema tupo pazuri. Najiuliza pazuri wapi?
Mwanzoni nilijua labda baba anafanyia nyumba usafi, Cha kushangaza tunamaliza miaka tano hali imekuwa tete zaidi ya tulipo toka.
Kuna hitajika jitihada za ziada kwenye uchumi wetu tena kwa speed kubwa la sivyo tutazalisha taifa la wamachinga na wapiga vibomu. Maana soon kodi za pango na serekali hazitalupika tena.
Natamani hii biashara yangu nimpe bure Dr mpango aiendeshe kwa miezi tu ili ajue hali halisi sio kukaa ofisini huku tukimlipa mshahara mnono bila kusaidia uchumi wetu.
Dr. Mpango mweleze rais hali mtaani ni mbaya,Watu tunapiga kazi asubuhi mpaka jioni lakini tunatoka kapa kila siku.
Halafu nimegundua ukiwa na hali mbaya mfukoni na majukumu ndio yanabisha hodi kwa kasi kweli kweli.
Hivi ilani ya chama ndio ilinadiwa kutekeleza hali iwe ngumu hivi? Tukutane mwakani october tuelezane kwa vitendo.
Usiseme kwa sauti wasifia juhudi watakwambia tuko uchumi wa kati, na tumekuwa dona kantri zungumza chini chini hahahahahahahNina miaka 18 kwenye biashara katika kipindi chote hicho,Nimepitia milima na mabonde.” Yani changamoto” Kitu ambacho ni cha kawaida kwenye biashara yoyote.
Lakini leo nakiri kwamba, Awamu hii imeuwa juhudi za watu wengi kufikia malengo yao kibiashara, Biashara zimeyumba kabisa, Mauzo yameshuka kwa asilimia zaidi ya 70, huku mitaji mingi ya wajasiria mali ikiteketea.
Kinachoogopesha zaidi, Sioni juhudi zozote za makusudi kuokoa hali hii mbaya. Jamaa zangu wengi wameshindwa kulipia school fees,Wengine wameshindwa kulipia mapango ya frem,Wengine ndoa zao zimevunjika na wengine wamepata stroku.
Lakini tukiwasikiliza viongozi wetu wanasema tupo pazuri. Najiuliza pazuri wapi?
Mwanzoni nilijua labda baba anafanyia nyumba usafi, Cha kushangaza tunamaliza miaka tano hali imekuwa tete zaidi ya tulipo toka.
Kuna hitajika jitihada za ziada kwenye uchumi wetu tena kwa speed kubwa la sivyo tutazalisha taifa la wamachinga na wapiga vibomu. Maana soon kodi za pango na serekali hazitalupika tena.
Natamani hii biashara yangu nimpe bure Dr mpango aiendeshe kwa miezi tu ili ajue hali halisi sio kukaa ofisini huku tukimlipa mshahara mnono bila kusaidia uchumi wetu.
Dr. Mpango mweleze rais hali mtaani ni mbaya,Watu tunapiga kazi asubuhi mpaka jioni lakini tunatoka kapa kila siku.
Halafu nimegundua ukiwa na hali mbaya mfukoni na majukumu ndio yanabisha hodi kwa kasi kweli kweli.
Hivi ilani ya chama ndio ilinadiwa kutekeleza hali iwe ngumu hivi? Tukutane mwakani october tuelezane kwa vitendo.
Yaan acha tu. Mambo magumu mnoPole mwaya, tatizo serikali inafanya biashara na taasisi za serikali kwahyo kampuni nyingi binafsi ambazo zilikuwa suppliers wa serikali na walipa kodi wazuri zinakufa taratibu. Mungu akusaidie ila atusaidie na sisi maana cjui kama 2020 tutafika salama kama mambo yataendelea hivi.
2014 nilikuwa na wafanyakaz karibia 50 ila sahiz wamebaki 21 na ntazid kupunguza hali ni mbaya sana