Kwa miaka 20 tunashiriki uchaguzi, CHADEMA hatujakubalika, yaliyotokea Zambia hayawezi kutokea hapa Tanzania

Wewe Ujue hicho chama chenye uelekeo wa kushinda ni chama kilichoiongoza Zambia for more than 15yrs. Na hicho kinachoondolewa ni chama kilichokuwa cha upinzani yani kilibahatika kuongoza nchi na sasa kinatolewa madarakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…