Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, kwa miezi 6 Mama amekopa Trilioni 10, Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana.

Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, kwa miezi 6 Mama amekopa Trilioni 10, Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana.

Kwa miaka 5 na miezi kadhaa, yaani kuanzia 2015 hadi March 2021 Magufuli amekopa kiasi cha Trillioni 36, kwa wastani wa Trillioni 7 kwa mwaka.

Magufuli amefariki March 2021 Deni la Taifa liko Trillioni 72. Kwa muda wa miezi 9, yaani kuanzia March 2021 hadi December 2021 deni la Taifa ni Trillioni 82, kwa maana kwamba kwa miezi 9 mama amekopa Trilioni 10.

Tukienda kwa kasi hii ya mikopo, miaka 4 ijayo mama atakopa Trillioni zaidi ya 50 na kufanya deni la Taifa kufikia Trilioni 120 ama zaidi mwaka 2025.

Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana. Mama hataki kuangalia vyanzo vipya vya kodi, yeye anakimbilia the easy way out, kukopa, kukopa na kukopa.

Hii nchi miaka 60 ya uhuru tunakopa kujenga madarasa, kujenga vyoo kweli? Hata hilo la ujenzi wa vyoo vya shule tunahitaji kukopa? Tukope kufanya vitu vya msingi.

Kuna watu wasema mama ameleta uwazi wa matumizi ya mikopo sio kama Magufuli, naomba tuulizane, kwenye hizo Trillioni 10, tumetangaziwa matumizi ama mgawanyo Trillioni ngapi? Si hizi 1.5 za covid tu za ujenzi wa madarasa? Nyingine 8.5 tunajua zimetumika wapi?
View attachment 2063295
Kuna miradi haikutakiwa kufanywa maana Haina tija.Kuamia Dodoma,ujengaji wa Ikulu mpya Dodoma.
Pia tumuulize Kikwete pesa ya gesi yetu ya Mtwara ipo wapi.
 
Dont lose focus my friend...Kama watu hawaelewi jua tatizo ni la kwako kama mueleweshaji...Once unapo raise your voice jua kabisa unashindwa kutetea hoja yako na badala yake unatumia mi guvu mingi bila maarifa...Kwanini watu wawe na chuki kama wanapata faida?
Rubbish,if you don't have Understanding mind keep quiet
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Miaka 60 ya uhuru huwezi kukopa ili ukajenge madarasa na vituo vya afya, labda kama hiyo nchi ni changa......haya kakopeni mkajenge na matundu ya vyoo.
Kwa hiyo kama yanahitajika ulitegemea iwaje? Ndio miaka 60 hiyo sasa madarasa bado na vituo vya afya bado..

Ona hapa Wananchi wanasafiri km zaidi ya 100 kufuata huduma za afya ,we unaona wanatakiwa kuachwa?

Mara nyingi huwa nasema nyie watu wa mjini kwanza hampigi kura pili mna options nyingi kutoka private sector kiasi kwamba Serikali ikijenga huduma yoyote mjini haiondshi kuwa na tija kulinganisha na Vijijini.

Kwa hiyo nyie wa town endeleeni kupiga soga mitandaoni lakini maana halisi ya maendeleo wanaona watu wa Vijijini.

Na mkikaa hapo town mnadhani kila sehemu iko kama hapo town

Screenshot_20211228-123159.png


Screenshot_20211228-122821.png


Screenshot_20211228-123004.png


Screenshot_20211228-123447.png
 
Acheni siasa za maji taka hizo!!kubalini tu meko nafsi imeshaachana mwili!!nitakuwa wa mwisho kuamini hilo kuwa mama ameshakopa trilioni 10, kwa muda huu, lakini hata kama ingekuwa kweli kwa akili zenu mnafikiria hayo mamiradi yote aliyoyaacha shujaa wenu, pesa za kuyaendeleza zinatoka wapi?alianzisha miradi bila kuangalia uwezo wa nchi, yeye anavyoamka tu , anakuja na kitu chake, mfano lile daraja la salender kule lina umuhimu gani wa maana?ni mradi gani mpya wa ma trilioni ya pesa ambayo awamu ya 6, imeunzisha?kama sio hayo ya meko??huyo ndungai alikuwa wapi huko nyuma, kukemea hilo?
Halafu eti kwani awamu ya 5 ilikuwa inakopa pesa?
Kweli wewe hujui chochote na huelewi chochote.

Daraja la salenda mkopo aliomba kikwete, mchakato wote wa ujenzi, upatikanaji mkandarasi ulikua umekamilika enzi za kikwete na sio Magufuli.

Ungeweza kua na hoja kama ungekua unaelewa unachokiandika.
 
Kwann tukope kwann tusichochee uzalishaji kwanza nchini Ili export ikue tupate mapato ya kufanya maendeleo yetu
 
Deni la taifa bado ni himilivu....

Profesa Luoga amefafanua kitaalamu kuwa hatujafika hata nusu ya asilimia 70 ya "cap" ya kukopa.....

#Siempre JMT[emoji120]
#Siempre SSH[emoji120]
Je kaweka mchanganuo wa madeni yuliyokopa na yametumikaje?
 
Kwa miaka 5 na miezi kadhaa, yaani kuanzia 2015 hadi March 2021 Magufuli amekopa kiasi cha Trillioni 36, kwa wastani wa Trillioni 7 kwa mwaka.

Magufuli amefariki March 2021 Deni la Taifa liko Trillioni 72. Kwa muda wa miezi 9, yaani kuanzia March 2021 hadi December 2021 deni la Taifa ni Trillioni 82, kwa maana kwamba kwa miezi 9 mama amekopa Trilioni 10.

Tukienda kwa kasi hii ya mikopo, miaka 4 ijayo mama atakopa Trillioni zaidi ya 50 na kufanya deni la Taifa kufikia Trilioni 120 ama zaidi mwaka 2025.

Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana. Mama hataki kuangalia vyanzo vipya vya kodi, yeye anakimbilia the easy way out, kukopa, kukopa na kukopa.

Hii nchi miaka 60 ya uhuru tunakopa kujenga madarasa, kujenga vyoo kweli? Hata hilo la ujenzi wa vyoo vya shule tunahitaji kukopa? Tukope kufanya vitu vya msingi.

Kuna watu wasema mama ameleta uwazi wa matumizi ya mikopo sio kama Magufuli, naomba tuulizane, kwenye hizo Trillioni 10, tumetangaziwa matumizi ama mgawanyo Trillioni ngapi? Si hizi 1.5 za covid tu za ujenzi wa madarasa? Nyingine 8.5 tunajua zimetumika wapi?
View attachment 2063295
Mazingira aliyowacha Magufuli yanamlazimisha mama kukopa. Jiwe kaacha nchi ipo juu ya mapipa kuichumi na miladi yote aliyoanzisha hakuna uliokamilika
 
Kwa miaka 5 na miezi kadhaa, yaani kuanzia 2015 hadi March 2021 Magufuli amekopa kiasi cha Trillioni 36, kwa wastani wa Trillioni 7 kwa mwaka.

Magufuli amefariki March 2021 Deni la Taifa liko Trillioni 72. Kwa muda wa miezi 9, yaani kuanzia March 2021 hadi December 2021 deni la Taifa ni Trillioni 82, kwa maana kwamba kwa miezi 9 mama amekopa Trilioni 10.

Tukienda kwa kasi hii ya mikopo, miaka 4 ijayo mama atakopa Trillioni zaidi ya 50 na kufanya deni la Taifa kufikia Trilioni 120 ama zaidi mwaka 2025.

Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana. Mama hataki kuangalia vyanzo vipya vya kodi, yeye anakimbilia the easy way out, kukopa, kukopa na kukopa.

Hii nchi miaka 60 ya uhuru tunakopa kujenga madarasa, kujenga vyoo kweli? Hata hilo la ujenzi wa vyoo vya shule tunahitaji kukopa? Tukope kufanya vitu vya msingi.

Kuna watu wasema mama ameleta uwazi wa matumizi ya mikopo sio kama Magufuli, naomba tuulizane, kwenye hizo Trillioni 10, tumetangaziwa matumizi ama mgawanyo Trillioni ngapi? Si hizi 1.5 za covid tu za ujenzi wa madarasa? Nyingine 8.5 tunajua zimetumika wapi?
View attachment 2063295
Ikatae CCM na matendo yake yote kwa moyo wako wote,ili nchi iingie paradiso
 
Mkuu tunaongelea mikopo ya 36T na 10T katika kipindi cha miaka 5 na kile cha miezi 10. Ni vema tukajua fedha hizo zilitumikaje ili tujue nani kakopa kwa tija na nani katuingiza mkenge.
Hujui kusoma, au? Ndiyo maana tukasema miradi ya JPM inaonekana. Bi Mkubwa mradi wake mkubwa ni UVIKO-19 labda na ile filamu yake ya Mzungu.
 
Kazi zilizofanywa na JPM zinaonekana wazi, na huo ndo ushahidi kwamba mzee alikopa lakini pia alikuwa na ubavu wa kusimamia matumizi ya fedha hizo.
Wakati huo Wahuni hawakuweza kusogeza hata pua zao kuwania unufaikaji wa fedha hizo.
 
Kwa miaka 5 na miezi kadhaa, yaani kuanzia 2015 hadi March 2021 Magufuli amekopa kiasi cha Trillioni 36, kwa wastani wa Trillioni 7 kwa mwaka.

Magufuli amefariki March 2021 Deni la Taifa liko Trillioni 72. Kwa muda wa miezi 9, yaani kuanzia March 2021 hadi December 2021 deni la Taifa ni Trillioni 82, kwa maana kwamba kwa miezi 9 mama amekopa Trilioni 10.

Tukienda kwa kasi hii ya mikopo, miaka 4 ijayo mama atakopa Trillioni zaidi ya 50 na kufanya deni la Taifa kufikia Trilioni 120 ama zaidi mwaka 2025.

Ndugai yuko sahihi, spidi ya kukopa ni kubwa sana. Mama hataki kuangalia vyanzo vipya vya kodi, yeye anakimbilia the easy way out, kukopa, kukopa na kukopa.

Hii nchi miaka 60 ya uhuru tunakopa kujenga madarasa, kujenga vyoo kweli? Hata hilo la ujenzi wa vyoo vya shule tunahitaji kukopa? Tukope kufanya vitu vya msingi.

Kuna watu wasema mama ameleta uwazi wa matumizi ya mikopo sio kama Magufuli, naomba tuulizane, kwenye hizo Trillioni 10, tumetangaziwa matumizi ama mgawanyo Trillioni ngapi? Si hizi 1.5 za covid tu za ujenzi wa madarasa? Nyingine 8.5 tunajua zimetumika wapi?
View attachment 2063295
Acha aendelee maana na yeye mfanyabiashara kwa hio anachukua chake mapema.
 
Deni la taifa bado ni himilivu....

Profesa Luoga amefafanua kitaalamu kuwa hatujafika hata nusu ya asilimia 70 ya "cap" ya kukopa.....

#Siempre JMT[emoji120]
#Siempre SSH[emoji120]
Cap ya kukopa iliyoweka na nani?
 
Wewe huna akili, grant inakuaje tena mkopo? Hivi unaelewa unachokiandika?

Wewe hizo details za kwamba 36T ni commercial terms na hizo 10T ni concessions loan umezitoa wapi kama huwezi kutofautisha kati ya grant na loan?

Rudi shule acha kudandia dandia mada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom