Kwa Miaka 6 hatukuona wala kusikia ugonjwa wa Kipindupindu, hii ni aibu kwa Taifa

Kipindupindu kinafichika kweli???
Ni rahisi kuamini maneno ya unayemtaka kuliko unayemchukia.

  • Walisema kuhusu COVID19, Dunia imekataa
  • Kipindupindu kikifichwa na mamlaka, vifo vyake havitajidhihirisha kwenye jamii?
  • Ebola ikaze, mamlaka ifiche? Itaweza?

Nani anaweza thibitisha kuwa Mwele hakutumika?

Kwanini iwe rahisi kuamini intergrity ya mteuliwa kuliko mteuzi?

Nani yuko kwenye nafasi ya kupata taarifa sahihi kwa kulinganisha zaidi ya Raisi wa nchi?
 
Kwa maneno mengine tunatangaziwa kwamba watanganyika tunakulaga vinyesi!
 
Mbona mimi sina hiyo Taarfa ya kipindua pindua
 
Si kwamba hakukuwa na magonjwa wala njaa, vilikuwepo sana tu ila watu walilazimishwa kuficha taarifa makusudi na wao wakatii ili wasipoteze vibarua vyao.
Ina maama walipoambiwa kuficha taarifa hata majukwaa ya kijamii nayo yalikosa taarifa? Hata yule Kigogo aliyekua mtoa taarifa mkuu ?
Kuna vitu kuvificha haiwezekani ingejulikana tu.
 
Swali la kujiuliza kama kweli ugonjwa huo wa Zika ulikuepo Tanzania baadaye uliishaje ?
Unataka kusema baada ya Dr. Mwele kutolewa na ugonjwa nao ukaogopa ukapotea ?
Magonjwa na majanga mbalimbali hayafichiki.
Magu pamoja na mapungufu yake yote ila kuna eneo alijitahidi.
Hivi COVID19 ingelipuka kipindi hiki si tungelazimishwa lock down. Ajabu ni kuwa ikifikia hapa watu wanakwepa kumpongeza jamaa
 

Nenda kamfufue siku ya tarehe 9/4/2023 ili mkale pamoja paska.
wasukuma ni washamba sana hivi mtu amekufa kaoza miaka miwili sasa bado mna imani za gambushi, sasahivi yuko mama Samia na post zote mlizokuwa mmejimegea na yule dikteta zimegawanywa sawa na liuwanja lenu chato litabaki na mapanya na majoka
 
Haters gonna hate hata iweje !!
 
Na ajabu baada ya Mwele kutimuliwa Zika nayo ikaondoka naye !!
 
Yule Dikteta sio tu alikuwa akiteka na kuus watu, bali hata mlipuko wa magonjwa mengi alikuwa akificha
Mfano Ugonjwa wa Covid ambao ulimuondoa hadi Katibu Mkuu Kiongozi, kabla ya kunuondoa yeye alikuwa akikataa na kuuita matatizo ya kupumua
 
Si kwamba hakukuwa na magonjwa wala njaa, vilikuwepo sana tu ila watu walilazimishwa kuficha taarifa makusudi na wao wakatii ili wasipoteze vibarua vyao.
Acha uongo wewe.mngeshindwa kimtumia kigogo,ambaye mlimtumia adi vifo hewa vya corona
 
Hayati Magufuli alipoingia tu madarakani aliwatangazia maRC na maDC kwamba Wilaya au Mkoa wowote atakaposikia Kuna kipindu-pindu huyo DC au RC amejifukuzisha kazi. Matokeo yake Kwa miaka sita hatukusikia ugonjwa huu popote pale.
Wewe ukishatangaziwa kuwa utafukuzwa kazi kipindupindu kikisikika mkoani pako si unajua cha kufanya hata kama ugonjwa huo upo?
 
Wewe ukishatangaziwa kuwa utafukuzwa kazi kipindupindu kikisikika mkoani pako si unajua cha kufanya hata kama ugonjwa huo upo?
Vifo huwezi kuvificha kama vinatokea ! Hata kwenye corona japo vilikuwa havitangazwi lakini vifo vya corona vilikuwa vinajulikana kila vinapotokea !! Haters gonna hate hata iweje !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…