Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Tunataka katiba mpyaOfisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
Jikite kwenye mada.Tunataka katiba mpya
We mwana CCM umewaingilia CHADEMA kwa style ya kuvaa gwanda, ujinga ni kuwa unashindwa kuwashambulia kwa criticism za kujenga ili wasikubaini kuwa ni mamluki uliye na ajenda chafu.Ofisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
We punda wa kijani tuliaOfisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
Mimi nasema kweli tu hata wakichukia is up to them.We mwana CCM umewaingilia CHADEMA kwa style ya kuvaa gwanda, ujinga ni kuwa unashindwa kuwashambulia kwa criticism za kujenga ili wasikubaini kuwa ni mamluki uliye na ajenda chafu.
Ofisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
Dah, sasa kwa nini usikae kimya?Tangu lini CHADEMA walikuwa na Ford Ranger? Acha uongo. Hakuna ofisi mikoani iliyofungwa na Kama kweli wewe Ni mwanachama wa CHADEMA ungelijua taarifa za Mali unazipata wapi. Taarifa za Mali za CHADEMA zipo Chini ya Baraza la wadhamini.
Ujumbe wako nini hasa?Kwa miaka mitano kuanzia 2020 tuna Tanzania ya aibu ambayo Rais fisadi anahamasisha ufisadi kwenye serikali yake tena kupitia TV ya Taifa🤡🤡🤡
View attachment 2081360
CCM bwana. Ilipoibiwa 1.5 trillion wala hamkuona. Nyie ccm nani kawaloga?Ofisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
Dah, sasa kwa nini usikae kimya?
Gaidi alishajimirikisha mali zote lakini nyumbu wanarukaruka tu!Ofisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
Ofisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
Kamanda ukisikia kuwa Taifa limekuwa fucked up ndiko huku sasa👇🤡🤡🤡Ujumbe wako nini hasa?
Ofisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
Hivi huko lumumba wewe assignment yako uliyopewa ni kudeal na chadema tu? Maana sjawahi kusoma mada yeyote unayoanzisha tofauti na kuinanga chademaOfisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.