Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Umesoma shule za kibabe hasa kama Kantalambo, Mazwi, Urambo, Lutengano, Ndembela, Iyunga, Tabora Boys, Majengo, Ruvu, Kibiti n.k
Unaanzaje kuwa shoga? Lazima matako yatakaza tu nakwambia. Kazi za mbilingembilinge za huko. Darasa likipiga kelele wanakuja walimu pale mlangoni wamejipanga na kila mtu ana sticks zake za kutosha. Walimu 10-20 wanatandika ipasavyo huku mkitolewa nje mmoja mmoja.
Baada ya hapo mnapewa zoezi la kwenda kukata kuni, mkirudi mnaenda kupalilia shamba. Kisha ndo mnarudi bwenini mkale na kujiandaa na preparation ya kusoma. Na bado muda wa "prepo" hatakiwi mtu bwenini. Wote mkasome mpaka saa 4 usiku.
Miaka ile lazima spring na nuts za nyuma zikaze tu. Unaanzaje kuwa shoga? Ni uboooh tu unaimalika maana ukichapwa makalioni mishipa ya kwenye uume ina imalika. Yaani wanakuchapa kurudisha akili juu ambazo zilikuja tuama kwenye makalio.
Shule za Mbeya, Rukwa, Ruvuma, Iringa, Kinjaro,Arusha zilikuwa na mchakamchaka asubuhi. Kabla hamjaingia darasani. Unazembeaji?
" Idd amini akifa...
Siwezi kulia
Nitamtupa Kagera awe chakula cha Mamba"
Au
" Jua lile literemke mama
Jua lile literemke mama"
Nuts zote mwilini zinakaza na akili inakuwa fresh. Usijichanfanye ukafanya kosa akaenda itwa mzazi.
Maana utachapwa na walimu halafu mzazi atatizama wakimaliza, atasema huyu mbona mmempapasa tu? Leteni fimbo niwaoneshe jinsi ya kupiga, anakuchapa kama anataka kumuua nyoka, tena nyoka mwenyewe anaconda. Unachapwa baadaye anaanza kukupiga ngumi, vichwa na vifuti.
Hapo walimu tena wanaanza kukugombelezea usije ukauawa na mzazi. Ukiachwa hapo upo hoi umetepeta mwili mzima. Unaenda kuuguza majeraha. Ila sasa akili inakukaa sawa kuwa inabidi usome uache ufalah.
Siku hizi vitoto akili zinashuka zinapita matakoni zinakuja hadi miguuni kabisa. Mwalimu anajaribu kuzirudisha juu mnamjia juu? Kweli? Hawa watoto wamekuwa mdebwedo sana. Ndio maana waarabu na wazungu wanawashika makalio n.k
Miaka yetu sisi hata bahati mbaya ukimgusa mwanaume mwenzio kalio kabla hujasema samahani tayari kuna meno kadhaa yanalegea au yameshaanguka. Unaishia kusema
'thamahani thikukuthudia yaani kupitha tu nyuma yako ndio unanipiga hifi"
Hapo meno ya mbele hayapo so huwezi tamka maneno vizuri.
Sisi ndio tumesoma shule na kuwa na akili siyo sasa, hivi vitoto mnavyolea sasa ni janga huko mbeleni. Ndio vitaandamana vikitaka haki za ushoga. Mimi nawaambia, kitoto unakiona kivulana kinalamba lamba lips na kinatembea huku kinakata kiuno?
Anyway...walimu msitoe adhabu kwa wanafunzi. Huo ni ukatili kwa watoto. Waacheni.
Nimekaa tu nikakumbuka shule zetu sisi tuliosoma miaka ya late 70s na 80s. Acheni masikhara nyie... Sisi ndio tulipelekwa kupata mafunzo hasa shuleni.
Unaanzaje kuwa shoga? Lazima matako yatakaza tu nakwambia. Kazi za mbilingembilinge za huko. Darasa likipiga kelele wanakuja walimu pale mlangoni wamejipanga na kila mtu ana sticks zake za kutosha. Walimu 10-20 wanatandika ipasavyo huku mkitolewa nje mmoja mmoja.
Baada ya hapo mnapewa zoezi la kwenda kukata kuni, mkirudi mnaenda kupalilia shamba. Kisha ndo mnarudi bwenini mkale na kujiandaa na preparation ya kusoma. Na bado muda wa "prepo" hatakiwi mtu bwenini. Wote mkasome mpaka saa 4 usiku.
Miaka ile lazima spring na nuts za nyuma zikaze tu. Unaanzaje kuwa shoga? Ni uboooh tu unaimalika maana ukichapwa makalioni mishipa ya kwenye uume ina imalika. Yaani wanakuchapa kurudisha akili juu ambazo zilikuja tuama kwenye makalio.
Shule za Mbeya, Rukwa, Ruvuma, Iringa, Kinjaro,Arusha zilikuwa na mchakamchaka asubuhi. Kabla hamjaingia darasani. Unazembeaji?
" Idd amini akifa...
Siwezi kulia
Nitamtupa Kagera awe chakula cha Mamba"
Au
" Jua lile literemke mama
Jua lile literemke mama"
Nuts zote mwilini zinakaza na akili inakuwa fresh. Usijichanfanye ukafanya kosa akaenda itwa mzazi.
Maana utachapwa na walimu halafu mzazi atatizama wakimaliza, atasema huyu mbona mmempapasa tu? Leteni fimbo niwaoneshe jinsi ya kupiga, anakuchapa kama anataka kumuua nyoka, tena nyoka mwenyewe anaconda. Unachapwa baadaye anaanza kukupiga ngumi, vichwa na vifuti.
Hapo walimu tena wanaanza kukugombelezea usije ukauawa na mzazi. Ukiachwa hapo upo hoi umetepeta mwili mzima. Unaenda kuuguza majeraha. Ila sasa akili inakukaa sawa kuwa inabidi usome uache ufalah.
Siku hizi vitoto akili zinashuka zinapita matakoni zinakuja hadi miguuni kabisa. Mwalimu anajaribu kuzirudisha juu mnamjia juu? Kweli? Hawa watoto wamekuwa mdebwedo sana. Ndio maana waarabu na wazungu wanawashika makalio n.k
Miaka yetu sisi hata bahati mbaya ukimgusa mwanaume mwenzio kalio kabla hujasema samahani tayari kuna meno kadhaa yanalegea au yameshaanguka. Unaishia kusema
'thamahani thikukuthudia yaani kupitha tu nyuma yako ndio unanipiga hifi"
Hapo meno ya mbele hayapo so huwezi tamka maneno vizuri.
Sisi ndio tumesoma shule na kuwa na akili siyo sasa, hivi vitoto mnavyolea sasa ni janga huko mbeleni. Ndio vitaandamana vikitaka haki za ushoga. Mimi nawaambia, kitoto unakiona kivulana kinalamba lamba lips na kinatembea huku kinakata kiuno?
Anyway...walimu msitoe adhabu kwa wanafunzi. Huo ni ukatili kwa watoto. Waacheni.
Nimekaa tu nikakumbuka shule zetu sisi tuliosoma miaka ya late 70s na 80s. Acheni masikhara nyie... Sisi ndio tulipelekwa kupata mafunzo hasa shuleni.