Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Mikopo juu ya mikopo, huyu mwalimu kazini anakuwaje na ufanisi? Cc; Mpwayungu Village
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida watu wanaishi na 150,000 mpaka 120,000Mikopo juu ya mikopo, huyu mwalimu kazini anakuwaje na ufanisi? Cc; Mpwayungu Village View attachment 3059663
Mmmh seriously mshahara 150k mkuuKawaida watu wanaishi na 150,000 mpaka 120,000
Kwa mwezi
Amejenga amepauaMikopo juu ya mikopo, huyu mwalimu kazini anakuwaje na ufanisi? Cc; Mpwayungu Village View attachment 3059663
Kaulize kwenye local Security guard companies wanalipwa baada ya siku 45 mpaka 50'sMmmh seriously mshahara 150k mkuu
Mmmmmh siku 45 daaah aiseeee kusema pesa ndo ngumu kiasi hiki mkuu....Kaulize kwenye local Security guard companies wanalipwa baada ya siku 45 mpaka 50's
Huko mikoani kawaida mshahara wa 100k mpk 120k
Huku dar es salaam Security guard companies local wanalipa 250k watu Wana familia na wanaishi kabisaa ogopa mzeee