Kwa Mishahara hii minono kwa Wachezaji hawa wa Kigeni Tanzania, Je, Wanavitendea haki Vilabu vyao?

Kwa Mishahara hii minono kwa Wachezaji hawa wa Kigeni Tanzania, Je, Wanavitendea haki Vilabu vyao?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Hivi viwango vya mishahara kwa hawa wachezaji Wakigeni, wanavitendea haki vilabu vyao?

==

Kwa mujibu wa TurpaSports, hawa ndio wachezaji wa Kigeni wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi Ligi Kuu Tanzania mwaka 2024, na viwango hivi ni kwa mwezi;
  1. Jhonier Blanco (Azam FC) – TSh. Milioni 65,951,750
  2. Stephane Aziz Ki (Yanga SC) – TSh. Milioni 30,337,805
  3. Clatous Chama (Yanga SC) – TSh. Milioni 26,380,700
  4. Steven Mukwala (Simba SC) – TSh. Milioni 26,380,700
    1733218401062.png
 
Wakuu

Hivi viwango vya mishahara kwa hawa wachezaji Wakigeni, wanavitendea haki vilabu vyao?

==

Kwa mujibu wa TurpaSports, hawa ndio wachezaji wa Kigeni wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi Ligi Kuu Tanzania mwaka 2024, na viwango hivi ni kwa mwezi;
  1. Jhonier Blanco (Azam FC) – TSh. Milioni 65,951,750
  2. Stephane Aziz Ki (Yanga SC) – TSh. Milioni 30,337,805
  3. Clatous Chama (Yanga SC) – TSh. Milioni 26,380,700
  4. Steven Mukwala (Simba SC) – TSh. Milioni 26,380,700View attachment 3167991
Chama huyu huyu anavuta 26m?
 
Wakuu

Hivi viwango vya mishahara kwa hawa wachezaji Wakigeni, wanavitendea haki vilabu vyao?

==

Kwa mujibu wa TurpaSports, hawa ndio wachezaji wa Kigeni wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi Ligi Kuu Tanzania mwaka 2024, na viwango hivi ni kwa mwezi;
  1. Jhonier Blanco (Azam FC) – TSh. Milioni 65,951,750
  2. Stephane Aziz Ki (Yanga SC) – TSh. Milioni 30,337,805
  3. Clatous Chama (Yanga SC) – TSh. Milioni 26,380,700
  4. Steven Mukwala (Simba SC) – TSh. Milioni 26,380,700View attachment 3167991
Yule kipa wa Azam, Amada alishamaliza mkataba? Si anakusanya 50m+ kwa mwezi yule?
 
Wakuu

Hivi viwango vya mishahara kwa hawa wachezaji Wakigeni, wanavitendea haki vilabu vyao?

==

Kwa mujibu wa TurpaSports, hawa ndio wachezaji wa Kigeni wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi Ligi Kuu Tanzania mwaka 2024, na viwango hivi ni kwa mwezi;
  1. Jhonier Blanco (Azam FC) – TSh. Milioni 65,951,750
  2. Stephane Aziz Ki (Yanga SC) – TSh. Milioni 30,337,805
  3. Clatous Chama (Yanga SC) – TSh. Milioni 26,380,700
  4. Steven Mukwala (Simba SC) – TSh. Milioni 26,380,700View attachment 3167991
Hapana eti mchezaji mshahara wa milioni 35 hana nishati lakinii mwenye mshahara wa laki 7 anamzidi nishati, hahaa haaa
 
Back
Top Bottom