Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Chama huyu huyu anavuta 26m?Wakuu
Hivi viwango vya mishahara kwa hawa wachezaji Wakigeni, wanavitendea haki vilabu vyao?
==
Kwa mujibu wa TurpaSports, hawa ndio wachezaji wa Kigeni wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi Ligi Kuu Tanzania mwaka 2024, na viwango hivi ni kwa mwezi;
- Jhonier Blanco (Azam FC) – TSh. Milioni 65,951,750
- Stephane Aziz Ki (Yanga SC) – TSh. Milioni 30,337,805
- Clatous Chama (Yanga SC) – TSh. Milioni 26,380,700
- Steven Mukwala (Simba SC) – TSh. Milioni 26,380,700View attachment 3167991
Yule kipa wa Azam, Amada alishamaliza mkataba? Si anakusanya 50m+ kwa mwezi yule?Wakuu
Hivi viwango vya mishahara kwa hawa wachezaji Wakigeni, wanavitendea haki vilabu vyao?
==
Kwa mujibu wa TurpaSports, hawa ndio wachezaji wa Kigeni wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi Ligi Kuu Tanzania mwaka 2024, na viwango hivi ni kwa mwezi;
- Jhonier Blanco (Azam FC) – TSh. Milioni 65,951,750
- Stephane Aziz Ki (Yanga SC) – TSh. Milioni 30,337,805
- Clatous Chama (Yanga SC) – TSh. Milioni 26,380,700
- Steven Mukwala (Simba SC) – TSh. Milioni 26,380,700View attachment 3167991
Hata uyo wa Azam mkuuWakipigwa kodi hapo hamna anaeondoka na 20m.
Hapana eti mchezaji mshahara wa milioni 35 hana nishati lakinii mwenye mshahara wa laki 7 anamzidi nishati, hahaa haaaWakuu
Hivi viwango vya mishahara kwa hawa wachezaji Wakigeni, wanavitendea haki vilabu vyao?
==
Kwa mujibu wa TurpaSports, hawa ndio wachezaji wa Kigeni wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi Ligi Kuu Tanzania mwaka 2024, na viwango hivi ni kwa mwezi;
- Jhonier Blanco (Azam FC) – TSh. Milioni 65,951,750
- Stephane Aziz Ki (Yanga SC) – TSh. Milioni 30,337,805
- Clatous Chama (Yanga SC) – TSh. Milioni 26,380,700
- Steven Mukwala (Simba SC) – TSh. Milioni 26,380,700View attachment 3167991
Eti Hana nishati ya dk 99 ama 120 hela zote hizo duu hawa sina adabu kabisaAziz ki milioni zote hizo goli moja
Aiseeeee.....Aziz ki milioni zote hizo goli moja