Hayo ni mawazo yako,,ila usifikiri kama wazungu hawana akili,,kuna kitu wanakitaka kwa Pique zaidi hata ya mchezo wenyewe..Pique ni beki wa kawaida sana kwa sasa yaani hata wasingeweka dau hilo sidhani kama thaman yake inazidi p25. Pique kwa sasa ukimpeleka vilabu kama Man u, man city, Chelsea & PSG atakaa bench hapati no ya moja kwa moja