GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wazazi na walezi wa wanafunzi wilayani Masasi mkoani Mtwara wamelazimika kuweka sahihi za kuingia mikataba ya kuhakikisha vijana wao wanafanya vizuri kwenye mitihani yao.
Lengo la mikataba hiyo ni kuwabaini baadhi ya wazazi wanaowarubuni watoto wao kutofanya vizuri, kwa madai ya kushindwa kuwasomesha ili kuwaozesha.
Chanzo: azamtvtz
Tokea zamani Wazazi wanawaambia Watoto wao WAJIFELISHE ili WAKAWAOZE wapate Hela nyie leo hii mtawaweza?
Lengo la mikataba hiyo ni kuwabaini baadhi ya wazazi wanaowarubuni watoto wao kutofanya vizuri, kwa madai ya kushindwa kuwasomesha ili kuwaozesha.
Chanzo: azamtvtz
Tokea zamani Wazazi wanawaambia Watoto wao WAJIFELISHE ili WAKAWAOZE wapate Hela nyie leo hii mtawaweza?