Kwa mkwanja huu wa Chama na Miquissone, wewe ungeweza kubaki Simba Sc?

Amekwambia nani mapengo yao yanaweza kuzibwa.?

Mpaka leo pengo la Okwi (Winga wa kushoto) bado halijaweza kuzibwa vyema. Morrison ndio tia maji tia maji katika eneo lile. Lakini bado hajaweza kuimudu nafasi vyema.
Kama pengo la okwi halijazibwa na tunachukua makombe kuna haja gani ya kuziba hilo pengo?
 
Kwahyo kisa yanga wamesema ndo na simba iseme?
 
Sisi likitoka jino kushoto tunaongeza meno kulia haina haja ya kuziba pengo la kushoto tunatafunia upande wa kulia.
 
Upewe mchanganuo we kama Nani....utopolo bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…