Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 15,954 Reaction score 35,415 Jan 9, 2023 #21 HOPECOMFORT said: Hatuwaamini mafundi kuwapa kununua wenyewe lkn kumbe ni bora kuongozana nao mara zingine kwakuwa expirience yetu ni tofauti na yao. Click to expand... Fundi ni fundi tu kuna mahali lazima atakupiga vilvyo. Na watu wanaopigwa sana na mafundi ni maboss bahili wanaojifanya kila kitu anaenda kununua.. Kuna vile unavijua nunua mwenyewe, vile huvijui fanya windowshopping ujue bei, mpe pesa akatafute kile kitafit. Ujuaji mwingi mbele kiza.
HOPECOMFORT said: Hatuwaamini mafundi kuwapa kununua wenyewe lkn kumbe ni bora kuongozana nao mara zingine kwakuwa expirience yetu ni tofauti na yao. Click to expand... Fundi ni fundi tu kuna mahali lazima atakupiga vilvyo. Na watu wanaopigwa sana na mafundi ni maboss bahili wanaojifanya kila kitu anaenda kununua.. Kuna vile unavijua nunua mwenyewe, vile huvijui fanya windowshopping ujue bei, mpe pesa akatafute kile kitafit. Ujuaji mwingi mbele kiza.