pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Acha na hii kabila uongo-uongo na janjajanja ndio asili yao 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee naona umekomaa nalo kweli ...Hilo crane la tani 26 limefika wapi? Bwawa linaanza kujazwa lini?
Ile filamu imefikusha views ngapiHata ROHO TOUR tuliambiwa kwamba watatajwa wafadhili wa safari lakini hadi leo kimyaaaa kana kwamba watz wote ni mazuzu tumesahau!.
mimiInatengenezwa kwa specification halafu ni ya kukodi? Kalemani hakujua kwamba hili winchi linahitajika kutengenezwa hadi asema bwawa linajazwa Nov.15? Hivi unakodi vipi kitu ambacho kiko taylor made kwa ajili yako?
Sawa, alisema ni la tani 26 na litaagizwa toka nje ya nchi maana Tz hakuna. Sasa nauliza, limeagizwa toka sayari gani na lipo wapi?mimi nilivyomwelewa waziri hakumaanisha craine ya kunyanyua na kupachika nilielewa ni zile craine za milango ya maji zinazosimikwa kukinga maji na kufungua maji kwa uwelewa wangu ulimaanisha hivyo kama ingekuwa za kunyanyua tu hata za tani mia tano zingepatikana kirahisi hizo ni special kwa milango ya bwawa tusubiri tuone zikifika
mimi
Saiv lipo saturn linaletwa, mtaalam wa logistics ni mwam-warSawa, alisema ni la tani 26 na litaagizwa toka nje ya nchi maana Tz hakuna. Sasa nauliza, limeagizwa toka sayari gani na lipo wapi?
Hahahahah, eti Mwamvita; jamani ehh, hilo crane la tani 26 limefika wapi?!Saiv lipo saturn linaletwa, mtaalam wa logistics ni mwam-war