Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 739
- 1,888
Mm avater nayotumia ni ya bilionea kutoa SA, anatwa Nicky oppenhermer ni former chairman wa kampuni ya alimasi huko SA inaitwa De Beers Ltd, ana utajiri wa Usd $7.7b
mm nilichangua hii picha 'avater' kuwakilisha profile yangu kwa sababu nilipata kusoma kuhusu mafanikio yake anaamini kwenye kujitua na kujitoa ili kufanikiwa haijalisi upo kwenye hali gani.. Kila mara nikiangalii picha inanifanya nikumbuke maneno yoke na pia nifanye juhudi kutimaza malengo yangu.
Kwa mnaotumia Avater kama mm hiyo avater yako ni ya nani?? Au ndo wewe.?? Pia kwa nini umechangua hiyo avater tupe japo ka story behind
mm nilichangua hii picha 'avater' kuwakilisha profile yangu kwa sababu nilipata kusoma kuhusu mafanikio yake anaamini kwenye kujitua na kujitoa ili kufanikiwa haijalisi upo kwenye hali gani.. Kila mara nikiangalii picha inanifanya nikumbuke maneno yoke na pia nifanye juhudi kutimaza malengo yangu.
Kwa mnaotumia Avater kama mm hiyo avater yako ni ya nani?? Au ndo wewe.?? Pia kwa nini umechangua hiyo avater tupe japo ka story behind