Kwa mlio weka 'Avatar', je?, Inamaana yoyote.??, Kwa nini uliichangua hiyo??

Kwa mlio weka 'Avatar', je?, Inamaana yoyote.??, Kwa nini uliichangua hiyo??

Ruby Rose, this amazing lady ananikosha sana, jinsi alivyo fight kuanzia kwenye model mpaka kuingia hollywood kutoka nchini Australia, jinsi anavyojikubali na yuko very humbled.
 
Huyo kwa avatar yangu ni Shaaban Robert, Baba wa kiswahili. Napenda kiswahili lugha poa sana ndio lugha yangu ya kwanza kuijua(fikra halisi huja kwa lugha asili), sipendi zile " xawa, tantee, jomoni, vepe, na zingine kama izo" Hua namuona fala sana anae andika au kuongea ivo
Kweli kiswahili unakifahamu.
ivyo......hivyo
 
mimi nilichukizwa na jinsi viwango vya ufaulu vilipoanza kubadilishwa na viongozi walipokua wafanya masihara na elimu ndo nikaamua kuitumia na kila nikiitizama nazidi chukia
 
Yangu inasadifu jina. Wakati najiunga jf ilikuwa mida ya usiku sana huku nikiwa kazini. Niliwaza ninavyopambana hadi mida 'mibovu' nikajikuta nimeandika SaaMbovu.
 
508635.jpg
hii ni avatar yako
Sawaa mkuu
 
Back
Top Bottom