mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 83,441
- 431,885
Asante kwa maelezoHuyo Dada anaitwa Tais Araujo au Preta.Ni actress wa Kibrazil nilimfahamu kwenye Tamthilia ya Shades of sin.Navutiwa sana na muonekano na uigizaji wake.Halafu tunafanana wembamba. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilishajibu huku juu mm ni mshabiki wa liverMkuu nisubiri kusikia kutoka kwako
Kabisaa kabisaa..Tupo tofauti tofauti Dunia....
NimeonaTayari kaka
You like tits, you hate milk.Huyo jamaa tumefanana hizo ndevu na nywele
Nimeona
Swali la kizushi id name yako unaweza nipa maana yake PM lakini
Nilishajibu huku juu mm ni mshabiki wa liver
Nimejiweka mwenyewe
Hiyo avatar ni mimi mwenyewe...nimejificha sura maana naona aibu sana.
Hapo nilikuwa bar Arusha napata moja moto moja baridi.
Najikubali...ndio maana nimejiweka
Usinicheke bhasi[emoji1][emoji1][emoji1]
This must be good news for me[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeh chura naziona kwa majirani hukooo
AiseeeNimeona
Swali la kizushi id name yako unaweza nipa maana yake PM lakini
Tulia mzee baba niaje lakini mkuuAiseee
I remember it bro, but people are watching we gotta be careful [emoji28][emoji28][emoji28]You like tits, you hate milk.
You remember that thread?
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Nenda tu PM hakutii mimba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kaka
Huyo kwenye avatar wala simjui niliona picha imetumwa hivyo group fulani nikashtuka nikajua ni mimi kuifungua nikakuta sio mimi ila tunaendana flani kimuonekano Na hiyo avatar nikaamua kuitumia huku
jamaa alikuwa kabira gani?Huyo kwa avatar yangu ni Shaaban Robert, Baba wa kiswahili. Napenda kiswahili lugha poa sana ndio lugha yangu ya kwanza kuijua(fikra halisi huja kwa lugha asili), sipendi zile " xawa, tantee, jomoni, vepe, na zingine kama izo" Hua namuona fala sana anae andika au kuongea ivo
inabidi upitee tuNapita mkuu
Power/friend of Ghostumeanza maswali ya kipolis