Uzuzu nimeubeba mwili mzima nawezaje kuuacha?Toa makosa acha uzuzu mbona mimi nimemuorodheshea makosa jamaa mmoja hapo juu.
Kumuathiri sio kumuathili....Yangu nimeiweka kwa dhumuni la kumuathili kisaikolojia ninaye mpinga hoja, nikimpinga then akiiona avatar yangu ana imagine kama ninamng'ong'a furani vile.
Safi mkuu alafu mimi naipenda R sijui kwanini yaani ngoja niache.Kumuathiri sio kumuathili....
Fulani sio furani.......
Unatokea Tarime?Safi mkuu alafu mimi naipenda R sijui kwanini yaani ngoja niache.
Hahahahaaa.. Atakuja Kama upepoUwwwii...na mwanangu anavyopenda chura naomba asikatize hii mitaa..[emoji87]
Sawa mwanafunziTukifunga shule december nitaamua kwa moyo mmoja!
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Aah...tembo hashindwi na mkonga wake,tamtuliza tuu my son,son😊Hahahahaaa.. Atakuja Kama upepo
Leo umepika nini?Sawa mwanafunzi
Napendelea kua Mwanadiplomasia mbabe kama jamaa anapenda vita sana.
Dah! Umenikumbusha Paco, Mr Alfonso na Family ya Papushika. Naikubali sana and that's why avatar yangu nikatumia Papushika...Huyo Dada anaitwa Tais Araujo au Preta.Ni actress wa Kibrazil nilimfahamu kwenye Tamthilia ya Shades of sin.Navutiwa sana na muonekano na uigizaji wake.Halafu tunafanana wembamba. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimejipika mimiLeo umepika nini?
Currently seen ni mimi mwenyewe......Had to post my own pic because of a dare, so it'll be up for a short while only ! Ila my regular Avatar since I joined ni ya miss Ethiopia; huku nilipo I always get confused na watu wa Ethiopia!
Ahsanteeee!!!!!nampenda huyuuu....nampenda Salmaan khan,nampenda Hrithik,Akshay,devgan,na wengineo wengi wahindiii!!!Updated nimesikia namba 1 sasa.
King KhanView attachment 906447
Hamjui king Khan huyuuuKwa india ni wa kwanza mkuu
[emoji445] [emoji981]and i don't know if it's real but i love the way it feels..... I'm so high[emoji445][emoji450]Indeed I am lucky
But am not sure if it's real