Kwa mlio weka 'Avatar', je?, Inamaana yoyote.??, Kwa nini uliichangua hiyo??

Kwa mlio weka 'Avatar', je?, Inamaana yoyote.??, Kwa nini uliichangua hiyo??

Huyo kwa avatar ni Shahrukh Khan, king of bollywood. Huwa ananinspire sana. Ukifuatilia story yake alianza chin kabisa bila kubebwa. Juhudi na nidham ndio zimemfanya kuwa muigizaj wa pili kwa utajiri duniani.

Naamin kwenye kila mafanikio kuna siri nyuma yake, siri ya wengi ni juhudi na nidham kwa kile unacho kifanya.
Daaah kumbe yuko vzr wa kwanza ni nani asee
 
Yangu nmemweka mh T.A.M.Lissu,niliiweka siku alipopigwa Risasi dodoma nahisi naweza nisiitoe au nikiitoa nitaweka nyingine ya kwake sema itakua tofauti na iyo na namkubali sana alinifanya mpk nikalia iyo siku
 
Yangu nimeiweka kwa dhumuni la kumuathili kisaikolojia ninaye mpinga hoja, nikimpinga then akiiona avatar yangu ana imagine kama ninamng'ong'a furani vile.
Kiswahili kimeanza kuadimika kwenye miandiko ya watanzania....
 
Back
Top Bottom