nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 288
- 230
IFM >institute of fool management,, hii ni taasisi haina hadhi ya kutoa degree
Karibun sana wadogo zetu mnaokuja pale...japo wengi wanakitambua ka chuo cha wauza sura au institute of fashion & modeling(hii ilikua zamani kuna kupga msulii balaaa..maana ukifell core subject hakuna ku carry unarudia mwaka).....pia kuhusu Hostel kupata ni shda sana lazma uhonge kama 400.000 hiv..afu uje ulipe 450000 kama fee...total inakua 850.000 nawashauri mtafute hostel kigamboni au mageto..ukitaka geto zuri ni kuazia 50.000.....pia kama huna loan maisha ni magumu kimtindo maana chuo kipo city centre
Ila watu wanakomaa tu hvyohyo kigumu....KARIBUNI SANAA
IFM >institute of fool management,, hii ni taasisi haina hadhi ya kutoa degree
Inaonekana direct una wivu mbaya... Nenda maofisini uwaone graduates wa ifm wanavyopiga kazi na kuwa trusted by employers... Kutoa degree co tatizo,,, kinatoa pia MASTERS N PHd... UTAKUFA KWA WIVUU WAKO KISA WEWE HUJAPATA PALE...
Huyo jamaa ni mburura sana,tena ana wivu mbaya sana,au yeye amechaguliwa uds nini au chuo cha kata yani udom
we boya kwel unalinganisha hyo shule ya sekondar na Udom kakojoe ulale kama huna cha kupost
Karibun sana wadogo zetu mnaokuja pale...japo wengi wanakitambua ka chuo cha wauza sura au institute of fashion & modeling(hii ilikua zamani kuna kupga msulii balaaa..maana ukifell core subject hakuna ku carry unarudia mwaka).....pia kuhusu Hostel kupata ni shda sana lazma uhonge kama 400.000 hiv..afu uje ulipe 450000 kama fee...total inakua 850.000 nawashauri mtafute hostel kigamboni au mageto..ukitaka geto zuri ni kuazia 50.000.....pia kama huna loan maisha ni magumu kimtindo maana chuo kipo city centre
Ila watu wanakomaa tu hvyohyo kigumu....KARIBUNI SANAA
Ifm wanatoa phd??hao walimu wenye phd wapo wawili na hio phd wanafundisha nani?.hakuna lecturer udsm,ardhi,sua,udom ambae alisoma ifm..
Wewe unaelewa kiswahili??amesema mtu aliesoma ifm hawezi kufundisha hivyo vyuo,na mimi namuunga mkono pia coz hakuna lecturer hata mmoja udsm,sua,ardhi ambae background yake ya bachelor inaanzia ifm,wanafundisha huko huko amazon college,na wewe kama ndio walimu wako pole sanaWewe huna akili kwani lecturer wa ifm hawezi fundisha UDOM,ARDHI,UDSM