Kama umesoma UDSM kisha huna kazi au mshahara mdogo kuliko yule alokuwa hajenda ata shule utakuwa na maana gani na gamba lenye nembo ya UDSM?? Mnafagilia vyuo, ulimbukeni mtupu, wewe kaa uponde taasisi ya mwenzako, yeye ala good time wewe unahangaika mjini. Heshima pesa sio karatasi litakalokuonesha wap umesoma!!