Kwa mliochaguliwa sua

Naskia kuna kukaza msuli kama a leval w2 wana sap sana ya kwel hay mkuu
 
Wale wa Bvm shule inaanza on the sport siku ya kufungua, na haina kuremba kitu cha anatomy, biochemistry kama kawa kama vp anza kupata reference mana quiz ni kama kawa kila baada pindi...
 
Ushawahi kupewa pepa, pembeni unawekewa maji baridi na pipi ili uufurahie mtihani wako? karibuni Sua...
 
Wale wa Bvm shule inaanza on the sport siku ya kufungua, na haina kuremba kitu cha anatomy, biochemistry kama kawa kama vp anza kupata reference mana quiz ni kama kawa kila baada pindi...

Duuh inabidi tujipange tena saaaaaaana!
 
Wale wa Bvm shule inaanza on the sport siku ya kufungua, na haina kuremba kitu cha anatomy, biochemistry kama kawa kama vp anza kupata reference mana quiz ni kama kawa kila baada pindi...

duuh nishasahau kila ki2 kwenye bioz !! Hahaha imekula kwangu
 
basi tu naona una informatn za bvm vp ulikuwa unapiga hii kozi au

Yap, ndiyo kozi niliyosoma na ni fani yangu kwa sasa, kiukweli ni kozi yenye mambo mengi kidogo ila yanayoeleweka, na msingi wa mafanikio ni self comitment pia determination... wish you great archivements...
 
Yap, ndiyo kozi niliyosoma na ni fani yangu kwa sasa, kiukweli ni kozi yenye mambo mengi kidogo ila yanayoeleweka, na msingi wa mafanikio ni self comitment pia determination... wish you great archivements...

daah mkubwa hebu tupe more informatn abt diz kozi
 
shukrani sana hope apolinary pereka atafurahi sana kuwa na sisi

vipi mdogo wangu! naona unaanza kuomba huruma ya mama Pereka hata kabla hujaiona SUA! karibu sana nami ni first year masters.
 
daah mkubwa hebu tupe more informatn abt diz kozi

Sijaelewa ni info zipi uzitakazo mana maelekezo mengi including taratibu, sheria, na miongozo yote ya kozi unapewa mara unaporipoti chuo, vitu vya msingi kwenda navyo ni kama boot, labcot(nyeupe), fedha za kununua vitabu ikumbukwe vingi ni ghali, na vitu vingine vya kiuanafunzi...
 

duuh !! Kwani hapo chuoni hakuna library ya vitabu?? Kusuhu hilo labcoat and boots siwezi pata hapo chuoni au ni lazma ununue huku madukani uje nazo !! Na zinatoka kwa bei Gani?
 
duuh !! Kwani hapo chuoni hakuna library ya vitabu?? Kusuhu hilo labcoat and boots siwezi pata hapo chuoni au ni lazma ununue huku madukani uje nazo !! Na zinatoka kwa bei Gani?

labcoat muhimu ukawa nayo mapema kama umechaguliwa bvm, ila gumboots ukifika chuon utanunua mana nazo ni muhimu. Karibu sua shule sio ngumu wala rahis ila u must work hard otherwise u will fail 2 exist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…