Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Nilifika,pasaka nikasherehekea nyumbani kwangu na familia yangu then nageuza tena kikazi.Mzee usijal....vipi ulifika?? Mwanaume anaetafuta hatima ya kesho huwa hababaishwi na vitisho....maneno au vifijo.
Mm popote ninapodream ninastrugle kufika.
Ungekuwa na ratiba ya kupitia hapa Bavaria ningeku-PM.
Hufiki Huku Toronto mzee pitia huku
Huwa natafakari sana pale binadamu mwezako/Mtanzania mwezako anapokuona wewe hufai eti kwa sababu tu unaenda nje ya nchi ama unauliza msaada kwa jamaa zako walioko nje. Mimi niliitwa taperi na matusi ya kila namna baada ya kuleta uzi wa kuzamia kwenda South Africa na Botswana. Ila niligundua Watanzania wengi tuna wivu na chuki za hali ya juu.
Nyani Ngabu napataje makaratasi ya US....nlikua huko kipindi flan kishule nikasepa.
Tafuta mume akuoe..
[emoji15] [emoji87] [emoji86]Tafuta mume akuoe..
Mbna tunakoseana adabu kibaba ?? Au umechukulia naku kejeli ?? Maana wabongo wengi huko wana tawaza vizee.. Tehe
Nikianza lugha chafu utahama humu. Ni vile umri, nimekua man. Hahaha
Ala!
Wewe umeuliza swali nami nikakujibu.
Sasa tulipokoseana adabu ni wapi tena yakhe?
Wewe kama unataka kijani tafuta mume fasta.
Kwa hiyo unataka niambia we walikuoa waka kubidua ndio ukapata sio ?? Tehe
Aisee Hongera Sanaa. Daah
Mi sijakwambia hivyo.
Mi nimekwambia kama unataka kijani tafuta mume akuoe.
Hujaelewa?
Hujaniambia nn ?? Mbna umeeleweka.
Ntabaki bongo tu yakhe...im not that desperate. Hongera once again.
mbona mnawadis sana wabongo waishio njee, wamekuwa hawafai kiasi hicho?
Be easy ma ninja!
I was just messing with you.