Kwa mlioko Ughaibuni tu maeneo husika

Kwa mlioko Ughaibuni tu maeneo husika

Mzee usijal....vipi ulifika?? Mwanaume anaetafuta hatima ya kesho huwa hababaishwi na vitisho....maneno au vifijo.
Mm popote ninapodream ninastrugle kufika.
Nilifika,pasaka nikasherehekea nyumbani kwangu na familia yangu then nageuza tena kikazi.
 
Huwa natafakari sana pale binadamu mwezako/Mtanzania mwezako anapokuona wewe hufai eti kwa sababu tu unaenda nje ya nchi ama unauliza msaada kwa jamaa zako walioko nje. Mimi niliitwa taperi na matusi ya kila namna baada ya kuleta uzi wa kuzamia kwenda South Africa na Botswana. Ila niligundua Watanzania wengi tuna wivu na chuki za hali ya juu.

Usijali mkuu, watanzania wengi wameishia Manzese, wanaona kama unafanya anasa kwenda mbali kumbe unapigana na maisha, achana nao kata mbuga mbele kwa mbele.
 
USA baby
upload_2016-4-3_11-5-45.png
upload_2016-4-3_11-5-46.png
upload_2016-4-3_11-5-47.png
upload_2016-4-3_11-5-48.png
upload_2016-4-3_11-5-48.png
upload_2016-4-3_11-5-49.png
upload_2016-4-3_11-5-49.png
.
 
Tafuta mume akuoe..

Mbna tunakoseana adabu kibaba ?? Au umechukulia naku kejeli ?? Maana wabongo wengi huko wana tawaza vizee.. Tehe

Nikianza lugha chafu utahama humu. Ni vile umri, nimekua man. Hahaha
 
Mbna tunakoseana adabu kibaba ?? Au umechukulia naku kejeli ?? Maana wabongo wengi huko wana tawaza vizee.. Tehe

Nikianza lugha chafu utahama humu. Ni vile umri, nimekua man. Hahaha

Ala!

Wewe umeuliza swali nami nikakujibu.

Sasa tulipokoseana adabu ni wapi tena yakhe?

Wewe kama unataka kijani tafuta mume fasta.
 
Ala!

Wewe umeuliza swali nami nikakujibu.

Sasa tulipokoseana adabu ni wapi tena yakhe?

Wewe kama unataka kijani tafuta mume fasta.

Kwa hiyo unataka niambia we walikuoa waka kubidua ndio ukapata sio ?? Tehe

Aisee Hongera Sanaa. Daah
 
mimi niko L.A pande za kwa Mtogole huku..
kama vipi ukija nicheki kwa hewa hommie
 
Back
Top Bottom