Ukilewalala
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 542
- 1,111
[emoji23]"Maskini tu ndo hulewa ili wasahau shida zao. Mimi sina shida za kusahau so sihitaji kulewa."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengi Wanao Jifanya Kulia Lia eti Shujaa Wa Chato alikua ni Mtetezi wa Wanyonge. Wengi Wao ni Watu wenye Roho za Kimasikini waliokua Wakishangilia Matajiri wakiporwa Mali zao na Kumbikiwa Kesi za Ukwepaji Kodi. Walitamani Matajir Waish kama Maisha Wanayoish wao Roho za KimasikinAsante kwa taarifa mnyonge mwenzetu...
Wala hujakosea mkuuWengi Wanao Jifanya Kulia Lia eti Shujaa Wa Chato alikua ni Mtetezi wa Wanyonge. Wengi Wao ni Watu wenye Roho za Kimasikini waliokua Wakishangilia Matajiri wakiporwa Mali zao na Kumbikiwa Kesi za Ukwepaji Kodi. Walitamani Matajir Waish kama Maisha Wanayoish wao Roho za Kimasikin
Mdangie aise😅Sawa tajiri tumekusikia tutakufikia. Tunashukuru sana. Il sisi wengine huwa tunakunywa Kuluewa ili tusahau raha pia. So sI kila anayelewa anasahau shida
Kuna cousin wangu anasoma saut Nikuunganishe naye?anafahamu kiinglishi,kiswahili na kifaransa. Ana akili na ni pisi kali kinyama.... Nadhani anaweza kukufaa...
😀yeye ntamlipa tsh 1,500,000 kwa kukaa tu mbele kwenye gari na kuwa anatabasamu na kunisemesha mara chache chache.
Atakuw mnyaki wa mwakaleli huyu lugano gwa kukaja ,nkonyofu vijoMkuu wewe ni Mnyaki
No way. Si mtu wa kutafuta watu. Yeye ndo anapaswa anitafute mimi. Anahusika na business gani? Kuwa mmarekani si sababu ya yeye kuonana nami. Kuna hata aliens nawagomea kuonana nami. Itakuwa tu huyu binadamu mmarekaniMtafute don Nalimison ni mmarekani yupo pande hizo atakusaidia sana