Kwa mliowahi kupanga chumba, ushawahi kunatana na mpangaji mwenza mwenye kiburi?

Kwa mliowahi kupanga chumba, ushawahi kunatana na mpangaji mwenza mwenye kiburi?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Harakati za hela ya umeme nyumba za kupanga zenye kushare Luku.

Few years ago, nilipanga chumba, wapangaji tulikua wawili na mtoto wa mwenye nyumba, kwakua mtoto wa mwenye nyumba alikua anatatizo la akili, tulimtoa katika kuchangia umeme, pia hakua na matumizi makubwa.

Mwanzoni mambo yakawa sawa, ila muda ulivyozidi, ikifika zamu ya mwenzangu anasema hana hela tunalala giza, nami nilikua nasoma hivyo ilinilazimu ninunue tu umeme.

Nikawaza emotional energy ninayotumia kumfikiria huyu mpangaji mwenza, nikaona bora tu niwe nalipa mwenyewe, after all, yeye pia hakua na matumizi makubwa zaidi ya taa tu na kuchaji simu, nililipa umeme pekeangu kwa miezi kama mitano.

Mtoto wa mpangaji akaondoka kutokana na tatizo la akili kuzidi, hivyo chumba wakaweka mpangaji mwengine.

Mpangaji wa tatu alipofika, akawa yeye feni anawasha saa moja jioni anazima saa mbili asubuhi, binafsi nikaona siwezi tena kugharamia umeme pekeangu, ikabidi tuitane tuchangie wote, mpangaji mgeni alikua ana kama wiki hivi, jamaa alitoa hela ila kumbe kile kitendo kimemuuma kua ni kama tumemhusisha na umeme mapema,

Kisanga sasa:-
Akawa anawasha feni na taa masaa 24, yani anaweza kutoka akaacha vyote vinawaka makusudi, feni zilikua ni zile za zamani zinakula sana umeme.

Jinsi ya kumwambia ni ngumu mana atasema na yeye amechanga, hakika hii ilikua moja ya sababu ya kuhama.

Kuna watu ni kiburi na usiombe ukutane nae maeneo ambayo huwezi muepuka
 
kuna dada hapa ana vihitabia vya kusimanga wapangaji wenzie huko nyumba za jirani kuwa hatuli vizuri hatuna hela tuna maisha magumu na maneno kibao ya kupika last month nilisikia kadai nilikuja fanyiwa fujo na demu fulani eti kuwa nimeshindwa mpa hela baada ya gegedo wakati ni kitu ambacho hakikuwahi kutokea..

lakini mungu sio athumani baada ya wiki kama mbili mumewe akaja nigongea nimkopeshe buku 10 familia yake ile dah.. 🥲
 
Ya kwangu mm, niliishi naye kabisa chumba kimoja..... Hakuna rangi sijaona
Yani badala ya kupunguza ukali wa maisha nilijikuta naingia costs zingineeee kabisa.

Kama niliishi na yule dada for 3 years, mm sijui kitu gani kitanishinda, labda mume mwenye ngumi ya ndoige.
Sijaelewa hapa
 
Nillishi na mpangaji mwenza ambae yeye zamu ikifika ananunua umeme pungufu, na mpangaji anaenivalia kanga ndebendebe khaa faru kama faru nilivuka, sijui nilimvaa malaika wa wapi sijui neb cadreza
 
Title ya mada imenifanya kuwaza mbali sana. Kunatana?? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Nikiwa na nagegeda demu mchan mpangaji mwezangu anakuja anakaha karibu na malngoni mwangu anajifanya anafua nguo kumbe anataka tu nisile mzigo au nikila mzigo alfu nikiwa nimemaliza round ya Kwanza bas utasikiaa kimooo hyoooo imishaaaa oyoooo tunabiki tunacheka Sana nilikuwa cmuelewi kbsa kwnan... Vibweka nyumba za kupanga, unakumbuka nini?
 
Back
Top Bottom