Smart Technician
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 653
- 824
Habari.
Kwa wale mliofanikiwa fungua kampuni brela mlifanyaje kwenye hii form 14b brela wamenipa maelekezo niitoe hio form. Lakini kila nkiitoa system inagoma kuendelea mbele. Inasema form 14b is required. Na namna ya kuwapata imekua ngumu. Comment walionipa hii hapa
Remove for 14b for beneficial owner, that form should be submitted after having obtain incorporation number.
Je mlitumia mbinu gani hapa mkafanikiwa?
Kwa wale mliofanikiwa fungua kampuni brela mlifanyaje kwenye hii form 14b brela wamenipa maelekezo niitoe hio form. Lakini kila nkiitoa system inagoma kuendelea mbele. Inasema form 14b is required. Na namna ya kuwapata imekua ngumu. Comment walionipa hii hapa
Remove for 14b for beneficial owner, that form should be submitted after having obtain incorporation number.
Je mlitumia mbinu gani hapa mkafanikiwa?