Kwa mnaoeneza uzushi dhidi ya kijana wa Kitanzania aliyeuawa na Hamas

Na wewe una chuki kubwa na Wakristo huna tofauti na huyo unayemlaumu
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
 
You nailed it SIR!
The rubbish MUST be cleansed from the planet earth!
They are uncivilized/uncultured idiots we do not need them!!
 
Hongera kwa kwapa ukweli hawa magaidi wauaji
 
Naangalia taarifa ya habari hapa azam .wanasema eti mwili baada ya kuuwawa ulichukuliwa kama mateka na Hamas. Nikifanya reference mwanzo kidogo wa hii vita ripoti kutoka kwa Hamas ilikua ni kwamba wanawashikilia mateka wasiopungua 240 kutoka israeli hakukua na maiti inayoshikiliwa.na kama ilikuwepo taarifa haikutolewa kwanini? Nakumbuka watu wa mwanzo kuanza kuripotiwa kufariki alikua ni mzee anaesumbuliwa na moyo sijui pressure taarifa ikatolewa.

Bado sana mimi kuamini kuwa Joshua aliuliwa na Hamas kama kuna uwezekano balozi wa palestina atolee taarifa suala hili.
 
Ukiwa kwenye hiyo dini unajitoa ufahamu, wee fikiria walienda kuuza bandari na ngorongoro kisa ni waislamu wenzao
Mimi RC ila nimeshaongea na sheikh ijumaa naenda kusilimishwa na jina nimeshachagua yule jamaa wa Yemen Houthi. Siwezi kujiita mkatoliki huku papa anasema ruksa kufanyana kinyume na kanisa litabariki.
 
Kwani Nyani Ngabu kumbe bado upo!!!

Mara kadhaa watu wanajiuliza ulipo. Wengine wanadai wamemiss Kiingereza chako!
 
Unajua nyinyi Waislam akili hamna moja wapo ni wewe!
 
Tuseme n kwel Hamas ndio wamefanya vile, je huyo balozi atasema huo ukweli.?
Tunasemaje wakati mazingira bado yana utata? Wewe umeangalia habari saa 2 hii msemaji wa israeli anasema mwili wa joshua ulichukuliwa mateka na hamas kwahiyo mwili upo Gaza inakuingia akilini hii?
 
Video ni movie quality ile.

Kuna Hamas wenye minyama uzembe namna ile?

Mnalo hilo.
 
Yani walimuua israeli wakaubeba mwili mateka kwenda nao Gaza. Mjinga tu ndio ataamini hii sinema. Halafu wakati wa kutangaza mateka mbona Hamas hawakusema kama kuna maiti wanaishikilia huu uwongo wa hawa jamaa unazidi kuwaumbua. Wait..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…