Kwa mnaohusika na kubomoa magorofa kariakoo naombeni connection ya vifaa jenzi used

Kwa mnaohusika na kubomoa magorofa kariakoo naombeni connection ya vifaa jenzi used

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Habari zenu wanajamvi, kama nilivosema

Nahitaji vifaa jenzi used lakini vilivyo katika hali nzuri kama vile bati za migongo mipana, nondo ml.12, gypsum, tofali n.k

Kwa bomoa bomoa inayoendelea kariakoo vitu hivyo vinaweza kupatikana kwa bei rahisi naomba mwenye connection ani-pm au aweke hapa tupate kujua machimbo

Ahsanteni
 
Mkuu, mie nipo Kariakoo hapa Kahama, lakini mbona sijaona hiyo bomoabomoa ikiendelea...🤔
 
Wakuu mpo kimya sana tuwezeshane vifaa jenzi wakuu niweze kutoka kwenye room moja
 
Vitu used kama

Nondo

Bati(migongo mipana)

Madirisha yaliyo katika hali nzuri

Nk
 
Habari zenu wanajamvi, kama nilivosema

Nahitaji vifaa jenzi used lakini vilivyo katika hali nzuri kama vile bati za migongo mipana, nondo ml.12, gypsum, tofali n.k

Kwa bomoa bomoa inayoendelea kariakoo vitu hivyo vinaweza kupatikana kwa bei rahisi naomba mwenye connection ani-pm au aweke hapa tupate kujua machimbo

Ahsanteni
Humu utaishia kuitwa pm ugeuzwe fursa ufursike kwa nini usiingie front kariakoo wewe mwenyewe? na uzingatie hili kariakoo udalali upo kwenye kila kitu so makinika🤣😂
 
Humu utaishia kuitwa pm ugeuzwe fursa ufursike kwa nini usiingie front kariakoo wewe mwenyewe? na uzingatie hili kariakoo udalali upo kwenye kila kitu so makinika🤣😂
Mkuu bila connection pale hutoboi utaamuliza nani watu wako site si utaonekana mwizi au wale mafundi wataonekana ni wezi kumbuka site maboss wanakuwepo
 
Kariakoo sahivi ya moto sana ni kibomoa jenga kila sehemu..
 
Kariakoo sahivi ya moto sana ni kibomoa jenga kila sehemu..
Ni hatari sana yale material wanayobomoa naweza kujengea nyumba kali kwa gharama nafuu kabisa maana magorofa mengine yanayobomolewa ni mapya kabisa hata ujenzi ulikuwa bado kukamilika
 
Ni hatari sana yale material wanayobomoa naweza kujengea nyumba kali kwa gharama nafuu kabisa maana magorofa mengine yanayobomolewa ni mapya kabisa hata ujenzi ulikuwa bado kukamilika
kuna sehemu hapo kariakoo nimeona mirunda mingi ni balaaaa aisee watu wanajenga maghorofa buana...
 
Back
Top Bottom