Kwa mnaoishi mbali na wake zenu,Nitieni Moyo

Kwa mnaoishi mbali na wake zenu,Nitieni Moyo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ndoa yangu ina umri wa mwaka na nusu sasa,na kubarikiwa mtoto mmoja mzuri na ana mwaka mmoja sasa.

Changamoto ni majukumu yangu na ya mke wangu kututenganisha.Wote ni waajiriwa,though ni within a region ila sio siri inanipa tabu sana,nakosa mapenzi ya ndani.

Mda mwingi na simu,akiacha kunipigia chini ya mara tatu kwa siku naumia nakosa raha.

Naamini tupo wengi ambao wapenzi wetu wapo mbali,em jamani tutiane moyo jinsi ya kuishi haya maisha
 
Ndoa yangu ina umri wa mwaka na nusu sasa,na kubarikiwa mtoto mmoja mzuri na ana mwaka mmoja sasa.Changamoto ni majukumu yangu na ya mke wangu kututenganisha.Wote ni waajiriwa,though ni within a region ila sio siri inanipa tabu sana,nakosa mapenzi ya ndani.Mda mwingi na simu,akiacha kunipigia chini ya mara tatu kwa siku naumia nakosa raha.Naamini tupo wengi ambao wapenzi wetu wapo mbali,em jamani tutiane moyo jinsi ya kuishi haya maisha

Tembea na hili neno..
attachment.php
 

Attachments

  • dist.jpg
    dist.jpg
    15.7 KB · Views: 2,509
🙉mh region moja apo kuna shida gani?!
 
Acha kuendekeza mapenzi,wenzio tuko new york na wapenzi wetu wako bongo na hakuna presha yoyote.

ila ukweli uko pale pale kuwa wewe huko new york " unakanyaga " na yeye huku bongo kwetu watu " wanakukanyagia vile vile " hili halina ubishi isipokuwa unachokifanya ni kujitutumua tu na kujipa moyo huku ukijitia matumaini na kumbukeni wote damu zenu zinachemka hivyo siamini kama kuna uaminifu wa " kibaiolojia " hapo ila najua kuna uaminifu tu wa nyie kupigiana simu na kudanganyana kama siyo kusanifiana wakati wote wawili mnachepuka in your respective areas.
 
Tembea na hili neno..
attachment.php

mapenzi siyo misemo, nahau wala picha. kwani watu hizo picha wamezibandika sana ktk kuta za sebule za nyumba zao lakini kuchepuka kwao ni kama kifo na binadamu. tumwambie tu ukweli mwenzetu kuwa cha kufanya yeye afanye tu kazi ili ajijenge kimaisha lakini kwa masuala hayo ya mapenzi na mkewe 90% lazima tu mkewe atakuwa anachepuka ili kukidhi haja yake ya kibaiolojia na ktk hili tusiwe wanafiki.
 
punguza wivu,kama akiamua kugongwa atagongwa na hutojua,we dili na mambo ya msingi kaka,wanawake wa siku hizi si kama enzi za mama zetu

ushauri wako ni " kuntu " kabisa na wa kiume kama si wa kishujaa na kama hatoufanyia kazi basi ataendelea kuteseka sana na mapenzi. heko.
 
Kama unaogopa kuchapiwa kwa ulimwengu wa sasa ni bora usioe,hasa kwa sisi wafanyakazi,hali ni mbaya sana,wanaume macho juu wanawake macho juu
 
okwi mama zetu na baba zetu ndio walifaidi mapenzi umalaya ni hulka ya mtu hata angekuwa karibu sasa fikiria kila siku humu watu wanalia oooh mpenzi wangu huko ofisini anashikwa matako !swala la kisingizio cha umbali huo ni uwongo kwa kizazi hiki!ushauri wangu hapo ulipo kama ni mkristo nenda kwa kanisa kama islamiki nenda msikitini asante
 
Back
Top Bottom