Kwa mnaoishi mbali na wake zenu,Nitieni Moyo

Kwa mnaoishi mbali na wake zenu,Nitieni Moyo

mapenzi siyo misemo, nahau wala picha. kwani watu hizo picha wamezibandika sana ktk kuta za sebule za nyumba zao lakini kuchepuka kwao ni kama kifo na binadamu. tumwambie tu ukweli mwenzetu kuwa cha kufanya yeye afanye tu kazi ili ajijenge kimaisha lakini kwa masuala hayo ya mapenzi na mkewe 90% lazima tu mkewe atakuwa anachepuka ili kukidhi haja yake ya kibaiolojia na ktk hili tusiwe wanafiki.

Mliozaliwa 90s hamuwezi kuelewa kwamba zamani kulikuwa na upendo wa dhati...
 
Hahahaha we sio naniliu wewe leo tulikuwa wote kwenye training kwel na umetoka kwa mkeo asubuh hii 😂😂😂
 
Yan kila nkifikiria mtu kumpanda mke wangu hua nnaumia sana, Yan kufikiria tuu nnaumia mno yan!! I feel u mtoa post, We find it so hard yan!!! Sasa kitu kuchapiwa na ukathibitisha na manze unamwelewa Wallah Roho yaweza Acha mwili, Back to the point, Inauma ndio lakin la msingi ni kutafuta Pesa kwanza na kuwasiliana Mara nyingi zaidi inapunguza sana hofu, Pia muombe Mungu mkuu Maaana Mke noma sana, Wivu ukizidi nao hahaha utataman uwe unafanya kaz na yy kasimama Pembeni Lmao
 
haaa kumbe sehemu mmoja bora ingekuwa mikoa tofauti au nchi....hapa sasa hakuna haja ya kukushauri
 
punguza wivu,kama akiamua kugongwa atagongwa na hutojua,we dili na mambo ya msingi kaka,wanawake wa siku hizi si kama enzi za mama zetu

Roho imeniuma kusoma ushauri wako, kwani namie wife yupo mbali likizo nikila baada ya siku 56 ndo tunaonana!!
 
Kuna mfanyakazi mwenzetu mme wake yuko mbali nae anagongesha kama hana akili nzuri.hata bodaboda anayemleta kazini anagonga.habari ndo hiyo wanawake ni dhaifu mno.
 
Ndoa yangu ina umri wa mwaka na nusu sasa,na kubarikiwa mtoto mmoja mzuri na ana mwaka mmoja sasa.Changamoto ni majukumu yangu na ya mke wangu kututenganisha.Wote ni waajiriwa,though ni within a region ila sio siri inanipa tabu sana,nakosa mapenzi ya ndani.Mda mwingi na simu,akiacha kunipigia chini ya mara tatu kwa siku naumia nakosa raha.Naamini tupo wengi ambao wapenzi wetu wapo mbali,em jamani tutiane moyo jinsi ya kuishi haya maisha
Mhasibu ndoa yako inaendeleaje?
 
Ndoa yangu ina umri wa mwaka na nusu sasa,na kubarikiwa mtoto mmoja mzuri na ana mwaka mmoja sasa.Changamoto ni majukumu yangu na ya mke wangu kututenganisha.Wote ni waajiriwa,though ni within a region ila sio siri inanipa tabu sana,nakosa mapenzi ya ndani.Mda mwingi na simu,akiacha kunipigia chini ya mara tatu kwa siku naumia nakosa raha.Naamini tupo wengi ambao wapenzi wetu wapo mbali,em jamani tutiane moyo jinsi ya kuishi haya maisha
Wewe si unasemaga ni kataa ndoa kumbe ndoa ulikuwa nayo?

Haya, ilikuwaje?
 
Ndoa yangu ina umri wa mwaka na nusu sasa,na kubarikiwa mtoto mmoja mzuri na ana mwaka mmoja sasa.Changamoto ni majukumu yangu na ya mke wangu kututenganisha.Wote ni waajiriwa,though ni within a region ila sio siri inanipa tabu sana,nakosa mapenzi ya ndani.Mda mwingi na simu,akiacha kunipigia chini ya mara tatu kwa siku naumia nakosa raha.Naamini tupo wengi ambao wapenzi wetu wapo mbali,em jamani tutiane moyo jinsi ya kuishi haya maisha
Hahaha
 

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

 
Yan kila nkifikiria mtu kumpanda mke wangu hua nnaumia sana, Yan kufikiria tuu nnaumia mno yan!! I feel u mtoa post, We find it so hard yan!!! Sasa kitu kuchapiwa na ukathibitisha na manze unamwelewa Wallah Roho yaweza Acha mwili, Back to the point, Inauma ndio lakin la msingi ni kutafuta Pesa kwanza na kuwasiliana Mara nyingi zaidi inapunguza sana hofu, Pia muombe Mungu mkuu Maaana Mke noma sana, Wivu ukizidi nao hahaha utataman uwe unafanya kaz na yy kasimama Pembeni Lmao
 
Back
Top Bottom