Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
mapenzi siyo misemo, nahau wala picha. kwani watu hizo picha wamezibandika sana ktk kuta za sebule za nyumba zao lakini kuchepuka kwao ni kama kifo na binadamu. tumwambie tu ukweli mwenzetu kuwa cha kufanya yeye afanye tu kazi ili ajijenge kimaisha lakini kwa masuala hayo ya mapenzi na mkewe 90% lazima tu mkewe atakuwa anachepuka ili kukidhi haja yake ya kibaiolojia na ktk hili tusiwe wanafiki.
punguza wivu,kama akiamua kugongwa atagongwa na hutojua,we dili na mambo ya msingi kaka,wanawake wa siku hizi si kama enzi za mama zetu
Mhasibu ndoa yako inaendeleaje?Ndoa yangu ina umri wa mwaka na nusu sasa,na kubarikiwa mtoto mmoja mzuri na ana mwaka mmoja sasa.Changamoto ni majukumu yangu na ya mke wangu kututenganisha.Wote ni waajiriwa,though ni within a region ila sio siri inanipa tabu sana,nakosa mapenzi ya ndani.Mda mwingi na simu,akiacha kunipigia chini ya mara tatu kwa siku naumia nakosa raha.Naamini tupo wengi ambao wapenzi wetu wapo mbali,em jamani tutiane moyo jinsi ya kuishi haya maisha
Wewe si unasemaga ni kataa ndoa kumbe ndoa ulikuwa nayo?Ndoa yangu ina umri wa mwaka na nusu sasa,na kubarikiwa mtoto mmoja mzuri na ana mwaka mmoja sasa.Changamoto ni majukumu yangu na ya mke wangu kututenganisha.Wote ni waajiriwa,though ni within a region ila sio siri inanipa tabu sana,nakosa mapenzi ya ndani.Mda mwingi na simu,akiacha kunipigia chini ya mara tatu kwa siku naumia nakosa raha.Naamini tupo wengi ambao wapenzi wetu wapo mbali,em jamani tutiane moyo jinsi ya kuishi haya maisha
HahahaNdoa yangu ina umri wa mwaka na nusu sasa,na kubarikiwa mtoto mmoja mzuri na ana mwaka mmoja sasa.Changamoto ni majukumu yangu na ya mke wangu kututenganisha.Wote ni waajiriwa,though ni within a region ila sio siri inanipa tabu sana,nakosa mapenzi ya ndani.Mda mwingi na simu,akiacha kunipigia chini ya mara tatu kwa siku naumia nakosa raha.Naamini tupo wengi ambao wapenzi wetu wapo mbali,em jamani tutiane moyo jinsi ya kuishi haya maisha
Hahaha Mfukua kaburiWewe si unasemaga ni kataa ndoa kumbe ndoa ulikuwa nayo?
Haya, ilikuwaje?
ChaiAcha kuendekeza mapenzi,wenzio tuko new york na wapenzi wetu wako bongo na hakuna presha yoyote.
Yan kila nkifikiria mtu kumpanda mke wangu hua nnaumia sana, Yan kufikiria tuu nnaumia mno yan!! I feel u mtoa post, We find it so hard yan!!! Sasa kitu kuchapiwa na ukathibitisha na manze unamwelewa Wallah Roho yaweza Acha mwili, Back to the point, Inauma ndio lakin la msingi ni kutafuta Pesa kwanza na kuwasiliana Mara nyingi zaidi inapunguza sana hofu, Pia muombe Mungu mkuu Maaana Mke noma sana, Wivu ukizidi nao hahaha utataman uwe unafanya kaz na yy kasimama Pembeni Lmao
DuuhKuna mfanyakazi mwenzetu mme wake yuko mbali nae anagongesha kama hana akili nzuri.hata bodaboda anayemleta kazini anagonga.habari ndo hiyo wanawake ni dhaifu mno.
HahahaSimu ndio kigezo cha faraja kwako?
Mfukua kaburi 😁Mhasibu ndoa yako inaendeleaje?