Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
1)direct cost inayotakiwa ilipwe ni bei gan?
2)ukiandikiwa no loan,unatakiwa uende na shiling ngap kama kianzio cha tution fees.
3)bei ya msoc ni shilling ngap(namaanisha msoc wa kawaida na sio burger)
4)vipindi vya darasan huwa vinaanza saa ngap na kuisha saa ngap?
5)hali ya hewa ya dsm kwa kipind hki ikoje ili tusije tukaacha makoti home kumbe kuna winter huko?
6)nikifika chuon na mabegi yangu,naanzia kureport kwa nan kabla ya kuendelea na zoezi la registration?
7)ikitokea nikakosa rum chuon,huko kitaa rum znapatkana kwa bei gan{nazungumzia rum yenye maji na umeme}
8)mavazi gani yanayoruhusiwa hapo na yasiyoruhusiwa?
9)sisi tunaotoka mikoani,tukiisha shuka stand kwa cku hyo 2talala guest house au kuna utaratibu wa kulala chuo kwa cku hyo?
10)kati ya cumpus na mabibo hostels,wapi pazuri kwa kuishi?
2)ukiandikiwa no loan,unatakiwa uende na shiling ngap kama kianzio cha tution fees.
3)bei ya msoc ni shilling ngap(namaanisha msoc wa kawaida na sio burger)
4)vipindi vya darasan huwa vinaanza saa ngap na kuisha saa ngap?
5)hali ya hewa ya dsm kwa kipind hki ikoje ili tusije tukaacha makoti home kumbe kuna winter huko?
6)nikifika chuon na mabegi yangu,naanzia kureport kwa nan kabla ya kuendelea na zoezi la registration?
7)ikitokea nikakosa rum chuon,huko kitaa rum znapatkana kwa bei gan{nazungumzia rum yenye maji na umeme}
8)mavazi gani yanayoruhusiwa hapo na yasiyoruhusiwa?
9)sisi tunaotoka mikoani,tukiisha shuka stand kwa cku hyo 2talala guest house au kuna utaratibu wa kulala chuo kwa cku hyo?
10)kati ya cumpus na mabibo hostels,wapi pazuri kwa kuishi?