Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mm nimeumia sana azam kufungwa na yanga Leo, nashindwa kuelewa uwezo wa wachezaji wao na performance yao uwanjani, ni bora huyo Feit Toto mpelekeni Simba akaamshe amshe, hapo kwenu hakuna kitu.