Kwa mshahara huu, naweza kupata mkopo kiasi gani?

Kwa mshahara huu, naweza kupata mkopo kiasi gani?

dada dori

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
233
Reaction score
93
habari!naomba mnisaidie hv kwa anayepata take home ya 700000(laki saba)anaweza kupata mkopo wa shilingi ngapi kwa benki ya NMB?
 
700,000/3=233,333(marejesho ya mwezi
233,333*60=14,000,000(kama utalipa miaka mi5)
So mkopo utakaopata n around 9,000,000 ( hapo umekata gharama zao za benki)
 
700,000/3=233,333(marejesho ya mwezi
233,333*60=14,000,000(kama utalipa miaka mi5)
So mkopo utakaopata n around 9,000,000 ( hapo umekata gharama zao za benki)

Asante,lkn bado sijaelewa hapo kwenye 14,000,000.ina maana kiasi hiki ndo atakachopata au?
 
Nenda equity bank hyo unapata 16000000/= kwa miaka 6,utakua unakatwa 3175000/= kwa mwezi.
 
Nenda equity bank hyo unapata 16000000/= kwa miaka 6,utakua unakatwa 3175000/= kwa mwezi.

asante,naomba niambie hiyo amount ni yote au wanakata gharama zao?Process zao zikoje ili upate mkopo&inachukua muda gani kupata mkopo?
 
Kina benki moja CRDB inatoa mkopo mkubwa zaidi hata ya 18m kwa take home yako hiyo.
 
700,000/3=233,333(marejesho ya mwezi
233,333*60=14,000,000(kama utalipa miaka mi5)
So mkopo utakaopata n around 9,000,000 ( hapo umekata gharama zao za benki)

Ulichoandika sio kweli ninachojua inatakiwa mshahara ubaki 1 ya tatu ya basic mfano kama basic ni 700000 unatakiwa mshahara ubaki 233333 kiasi kilichobaki ubaruhusiwa kukopea.
 
asante,naomba niambie hiyo amount ni yote au wanakata gharama zao?Process zao zikoje ili upate mkopo&inachukua muda gani kupata mkopo?

barua ya ajira
barua ya utambulisho kutoka kwa mwajiri
kitambulisho cha kazi
bank statement miez mitatu
salary slip miez mitatu
elfu 20 ya mwanasheria
fungua akaunti kwao kwa ajir ya huo mpunga ukiingia
Ukikamilisha hapo ndani ya dk 60 unavuta mpunga wako kiulaini
Ila kumbuka ni ww utaepeleka fomu ile kupitishwa kwa mwajiri wako
 
Ulichoandika sio kweli ninachojua inatakiwa mshahara ubaki 1 ya tatu ya basic mfano kama basic ni 700000 unatakiwa mshahara ubaki 233333 kiasi kilichobaki ubaruhusiwa kukopea.

Yaa, uko sahihi ila nmb mbona huwa nikiwaambia hivy wanakataa? halafu nikishakopa kwao huwa naenda tena kwenye wakopeshaji wengine hadi nabakiza 1/3 ya basic
 
Ulichoandika sio kweli ninachojua inatakiwa mshahara ubaki 1 ya tatu ya basic mfano kama basic ni 700000 unatakiwa mshahara ubaki 233333 kiasi kilichobaki ubaruhusiwa kukopea.

Haya tumekusikia....
 
Inaweza fika zaid ya 15 millions sina uhakika labda nikakutazamie vizuri
 
700,000/3=233,333(marejesho ya mwezi
233,333*60=14,000,000(kama utalipa miaka mi5)
So mkopo utakaopata n around 9,000,000 ( hapo umekata gharama zao za benki)

Mkuu Bila Chembe Ya Wasiwasi, Wewe Utakuwa Mtumishi Wa Taasisi Za Fedha, Mshahara Wangu Kama Mtoa Mada Na Mimekopa 9,5000,000 Nadaiwa 14,000,000 Kwa Miaka 5, Mchanganuo Wako Upo Sawa Kabisa
 
Mkuu Bila Chembe Ya Wasiwasi, Wewe Utakuwa Mtumishi Wa Taasisi Za Fedha, Mshahara Wangu Kama Mtoa Mada Na Mimekopa 9,5000,000 Nadaiwa 14,000,000 Kwa Miaka 5, Mchanganuo Wako Upo Sawa Kabisa

Miye siyo mtumishi wa taasisi za fedha ila n mkopaji mzuri sana, watu wengi wasichojua kuhusu kukopa n kuwa wanakopa wamalize shida zao badala ya kukopa kufanya maendeleo,

Ukikopa hakikisha unakuwa na mradi wa kufanyia hizo hela na itakuwa vyema kama hela ya mkopo ni ya kukamilisha mradi uliouanza kwa hela yako,
 
Back
Top Bottom